BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Matukio ya Rushwa za Ngono na Fedha bado yanaendelea kuwa kikwazo cha upatikanaji wa Haki katika huduma ikiwemo kuwakosesha Watumishi wenye Sifa fursa za kupata Uhamisho wa Idara au Vituo vya Kazi kutokana na kukataa au kutoridhia masharti ya kutoa Rushwa.
Ripoti ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), iliyoangazia masuala ya Rushwa katika Halmashauri za Jiji la Dodoma katika Sekta ya Elimu mwaka 2022 ilibaini kuna Rushwa ya Ngono kwa 72% katika Idara za Upangaji Vituo vya Kazi 63% katika Idara za Uhamisho wa Watumishi ndani ya Halmashauri.
Mdau, umewahi kutakiwa kutoa au Kupokea Rushwa ya Ngono au Fedha ili upate Uhamisho, na ulichukua hatua gani?
============
Ripoti ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), iliyoangazia masuala ya Rushwa katika Halmashauri za Jiji la Dodoma katika Sekta ya Elimu mwaka 2022 ilibaini kuna Rushwa ya Ngono kwa 72% katika Idara za Upangaji Vituo vya Kazi 63% katika Idara za Uhamisho wa Watumishi ndani ya Halmashauri.
Mdau, umewahi kutakiwa kutoa au Kupokea Rushwa ya Ngono au Fedha ili upate Uhamisho, na ulichukua hatua gani?
============