Rufaa ya Babu Seya, tumuombee atoke?

Upande wangu bado nashindwa kuelewa ilikuwaje baba mtu mzima na watoto wake wakashirikiana kufanya kitu kibaya kama kile, ilikuwa kwa starehe, imani za kishirikina, ulipaji kisasi au????!!! Juu ya yote hayo kwenye ukweli uongo hujitenga hivyo naomba ukweli usimame ili haki itendeke.
 
Hili ni swala la kisheria na mambo yakuombeana mungu hayana nafasi sana hapa. Kila mtu ahukumiwe kwa kosa alilofanya na kwasheria zilizopo. Kwakua mahakama ndio chombo cha kutafsiri na ksuimamia sheria, na kwakua mahakama nma hakimu Lyamuya na Jaji Mihayo wote waliamini hawa watu walitenda vitendo hivi viovu dhidi ya watoto wetu, binti zetu, waaalimu na madaktari wa kesho basi lazima waendelee kuwajibika
Ni vigumu kuamini watu hawa baba na watoto wamefanya hili jambo kwa pamoja, ila kwakua nalo ni vigumu kuamini mtu mzima kubaka na kulawiti katoto ka miaka mitatu, na kwakua hii imekua ikitikea, basi binafsi nakila sababu katika ugumu huo huo kuamini mahakama imesimama ktk ukeli.

Jiweke ktk nafasi ya mzazi ambae mwanae alifanyiwa hivyo na utajua ungekua na nafasi kuinfluence hukumu hii ungefanyaje .

Yetu macho
 
Hili ni swala la kisheria na mambo yakuombeana mungu hayana nafasi sana hapa. Kila mtu ahukumiwe kwa kosa alilofanya na kwasheria zilizopo. Kwakua mahakama ndio chombo cha kutafsiri na ksuimamia sheria, na kwakua mahakama nma hakimu Lyamuya na Jaji Mihayo wote waliamini hawa watu walitenda vitendo hivi viovu dhidi ya watoto wetu, binti zetu, waaalimu na madaktari wa kesho basi lazima waendelee kuwajibika
Ni vigumu kuamini watu hawa baba na watoto wamefanya hili jambo kwa pamoja, ila kwakua nalo ni vigumu kuamini mtu mzima kubaka na kulawiti katoto ka miaka mitatu, na kwakua hii imekua ikitikea, basi binafsi nakila sababu katika ugumu huo huo kuamini mahakama imesimama ktk ukeli.

Jiweke ktk nafasi ya mzazi ambae mwanae alifanyiwa hivyo na utajua ungekua na nafasi kuinfluence hukumu hii ungefanyaje .

Yetu macho

hata sisi ni wazazi na tuna uchungu sana tatizo hatujui ukweli umesiamamia wapi ???
 
Tuache hayo, leo ni leo, rufaa yake inaanza kusikilizwa, nataka maoni, je tumuombee ashinde rufaa yake ajiunge nasi uraiani au ashindwe aendelee kuozea jera?!, ni vyema basi tuwe na sababu.

Dunia hii imejaa mambo ya ajabu sana. Great people do great mistakes!. Nilipata kusoma ile hukumu ya mwanzo ya Babu Seya na wanawe. Kwa ushahidi ulivyokuwa ni vigumu sana kuamini kama haya mambo waliyotuhumiwa nayo yote ni ya kupika/kupangwa tu. Na hata ukisoma utetezi wao (kupitia wakili wao) hakuna mahala wanalalamika au wamemtaja mtu kwamba amewa'frame'.

Binafsi siamini kama wanaweza kushinda hiyo rufaa na wakaachiwa huru. Labda adhabu inaweza kupungua tu.
 
hata sisi ni wazazi na tuna uchungu sana tatizo hatujui ukweli umesiamamia wapi ???

FirstLady

kama mahakama ndicho chombo tunachokiamini kusimamia haki na tafsiri ya sheria, ni nani basi mwingine unataka aje atueleze ukweli. Je si vielelezo na ushahidi ulitolewa wakati wa kesi. Ni kweli kwamba unataka tuambia wanakuburudisha kwa music kiasi kwamba hata wakiwalawiti wanao unawaonea huruma?

Tuziamini mahakama zetu maana wao ndio tumewapa dhamana ya kusimamia sheria. Binafsi sitegemei kuona lolote geni kutoka kwa Jaji Natalia Kimaro wala Massati kwenyr hili maana najua watasimamia misingi tya sheria na sheria ni ile ile ilotumika na wenzao kuwafikisha hapo walipo.

Hivi hawa watu hawawezi kunyonga? Mahakama hii hiawezi kuwaongezea adhabu? au maana ya rufani ni kupunguza adhabu ya awali?

Naomba msaada kisheria
 
FirstLady

kama mahakama ndicho chombo tunachokiamini kusimamia haki na tafsiri ya sheria, ni nani basi mwingine unataka aje atueleze ukweli. Je si vielelezo na ushahidi ulitolewa wakati wa kesi. Ni kweli kwamba unataka tuambia wanakuburudisha kwa music kiasi kwamba hata wakiwalawiti wanao unawaonea huruma?

Tuziamini mahakama zetu maana wao ndio tumewapa dhamana ya kusimamia sheria. Binafsi sitegemei kuona lolote geni kutoka kwa Jaji Natalia Kimaro wala Massati kwenyr hili maana najua watasimamia misingi tya sheria na sheria ni ile ile ilotumika na wenzao kuwafikisha hapo walipo.

Hivi hawa watu hawawezi kunyonga? Mahakama hii hiawezi kuwaongezea adhabu? au maana ya rufani ni kupunguza adhabu ya awali?

Naomba msaada kisheria

mmh mahakama ni binadamu kama sisi wakiamua kupindisha ukweli watapindisha tu na wakiamua kutenda haki watatenda
so ngoja tusubiri hukumu ya pili kama wanakosa au hawana itathibitika
 
Hivi hata kama mnapenda ngono kiasi gani, baba anaweza kufanya hivyo mbele ya watoto kweli?, na kama kweli kafanya hivyo iweje wananchi watake kuandamana kwa ajili yake? kwani ni wangapi wamefungwa kwa ajili hii na wananchi wako kimya?

hapa ni lazima kuna kitu, na mkitaka kupata ukweli fuatilia magazeti ya leo jioni (kwa wale walioko Dar) yatauzwa sana kwa ajili yake, hapo hampati jibu kweli?

Wewe unaelekea una matatizo ya kichwa unafaa upelekwe kule Malecela aliposema Sofia Simba apelekwe! Utathubutu vipi kutetea hawa maluuni! Kweli dunia ina watu wa kila aina!
 
Watanzania Bwana!!!!! Kwa nini hamuamini mahakama zetu? Yaani jopo la majaji likae chini kwa miezi kadhaa kusikiliza kesi, halafu litengeneze hukumu? Acheni hizo....
 
bora atoke amesha juta makosa......je mafisadi akina chenge, RA na EL wanaotuulia watoto wetu kwa utapiamlo na vifo vya akina mama wajawazito kwa kukosa dawa?
 
Sheria ifuate mkondo na haki itendeke. Nafkiri hakuna ambaye atalalamika juu ya kushinda kwao. Kila lililo kheri.
 
Suala la babu Seya lifikiriwe kwa makini, kile kitendo kinatisha sana kwa hiyo acheni sheria ifanye kazi yake, suala sio kumuombea atoke bali atendewe haki.
 
Hili suala la babu seya na wanawe ni kitendawili mno. Nakumbuka yule kijana wake mdogo alikuwa under 18 na alitakiwa apelekwe jela za watoto na alikataliwa. Akawa jela za wakubwa hadi hukumu, I hope alikuwa over 18 wakati wa hukumu na akahukumiwa vilivyo.

Kama ni kweli waliwatendea wale watoto kama testimony zilivyokuwa zineleza basi na afungwe maisha maana ni watu hatari kwa jamii yetu. Na kama ni hivyo basi, then mama Eddy Lyamuya alifanya kazi yake sawasawa maana wale watoto isingekuwa rahisi kuwafundisha majibu bila kutetereka.

Kwa Zombe, serikali ilikuwa zembe(mashtaka) na technical know how ikawatoa nje. Ni uzembe wa kujutia maishani ila ni kilio cha roho maishani kwa wale waliowaua wale raia wasio na hatia. Doa lile halitatoweka kamwe maishani mwao.
 
bora atoke amesha juta makosa......je mafisadi akina chenge, RA na EL wanaotuulia watoto wetu kwa utapiamlo na vifo vya akina mama wajawazito kwa kukosa dawa?
Sio suala la kujuta, kwa wanaofuatilia rufaa yao, ukweli uko wazi,
 
Sio suala la kujuta, kwa wanaofuatilia rufaa yao, ukweli uko wazi,

Mbona kama unatu-lead kwenye majibu? Kama una predictions nafikiri utupatie maoni na mtazamo wako kwenye zoezi zima.

Nafikiri cha msingi kama alivyosema mdau mmoja, tunaomba Sheria kama sheria (kama kuna uzembe wa watu kupindisha sheria, hii ni case nyingine) ichukue mkondo wake. Kama ni kweli walitenda makosa hayo basi na waendelee kuitumikia adhabu yao, lakini kama kulikuwa na uonevu, basi waachiwe huru.
 
Someni ile case yenyewe, ambae anaweza ailete hapa, ndo mtaona jinsi Babu seya atakapokuwa na wakati mgum kutoka.
 
Back
Top Bottom