Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Wiki iliyopita niliwajulisha kuwa babu seya amekata rufaa, baadhi walinipinga kuwa ni habari za udaku na wengine wakanitaka niwape source,
Niliwajibu kuwa ni habari za ukweli na source ni mimi mwenyewe maana uwa nafuatilia, sio wengine wana copy magazetini,
Tuache hayo, leo ni leo, rufaa yake inaanza kusikilizwa, nataka maoni, je tumuombee ashinde rufaa yake ajiunge nasi uraiani au ashindwe aendelee kuozea jera?!, ni vyema basi tuwe na sababu.
Niliwajibu kuwa ni habari za ukweli na source ni mimi mwenyewe maana uwa nafuatilia, sio wengine wana copy magazetini,
Tuache hayo, leo ni leo, rufaa yake inaanza kusikilizwa, nataka maoni, je tumuombee ashinde rufaa yake ajiunge nasi uraiani au ashindwe aendelee kuozea jera?!, ni vyema basi tuwe na sababu.