RPC wa Mkoa wa Simiyu aamrisha Mkurugenzi wa Meatu kumtangaza mgombea wa CHADEMA mshindi

Safi sana..... wakurugenzi wengine wapuuzi kweli, wanaingiza ushabiki wa uccm kiasi cha kuhatarisha amani ya wananchi.


Kimsingi yapo maeneo mengi ambayo chadema walishinda, lakini ccm wakatangazwa washindi kutokana na msimamizi na polisi kuibeba ccm
 
Amejikosha tu, si ndo aliamrisha Vijana 147 wakamatwe ili ushindi uwe wa ccm akawasweka gerezani Magu wakiwa wamejeruhiwa vibaya sana, baada ya kamati kuu kukaa ndo kama kawaida kaja na uongo huo
 
Ndiyo Sababu watu wa mikoa YA nje na Dar wanatutizama Watu wa Dar kama wasaliti na waoga. Hii spirit ilitakiwa iwe imeasisiwa na wana Dar lakini tumetanguliza SANA matumbo yetu mbele zaidi YA harakati kama hizi. Hongera wana Simiyu
 
Magamba wote ni MUUMIANI damu za watu zinawachengua kama mazombie ... Hawa Jamaa dawa ni kuwachoma moto wote wao na vizazi vyao...

Ni vita kamili huku Meatu. Baada ya kura kuhesabiwa Mwenyekiti siku ya uchaguzi mgombea wa CHADEMA Alitangàzwa mshindi. Baada ya siku mbili Siku ya jumanne mkurugenzi mtendaji akiwa na polisi wa meatu walikuja kubandika matokeo mapya na kumtangaza aliyekuwa mgombea wa CCM. hapohapo Wanakijini wa kijiji cha Mwabusalu iliwabidi kupiga mbiu kuja kuwakabili. Ndipo mkurugenzi akaomba msaada wa polisi wa ziada kutoka mkoani Simiyu. Wananchi wakapiga kambi hapo kituoni wakiwa na hasira kali huku wakitoa ahadi kuwa mwenyekiti huyo wa CCM labda wamlinde jumla wasiondoke. Baada ya siku tatu RPC akátua kijijini hapo kuona kunanini haswa. Baada ya kushuhudia hali ya mambo alionesha wazi kuumizwa na tukio hilo ndipo akamuamuru mkurugenzi kutoa haki kwani polisi walikuwa hapo ni wengi(gari 3) na magari yana matumizi mengine. Mdipo hapo RPC akamtangaza na kumkabidhi funguo mgombea wa CHADEMA jana ijumaa na amani kurejea.m
 
Ni vita kamili huku Meatu. Baada ya kura kuhesabiwa Mwenyekiti siku ya uchaguzi mgombea wa CHADEMA Alitangàzwa mshindi. Baada ya siku mbili Siku ya jumanne mkurugenzi mtendaji akiwa na polisi wa meatu walikuja kubandika matokeo mapya na kumtangaza aliyekuwa mgombea wa CCM. hapohapo Wanakijini wa kijiji cha Mwabusalu iliwabidi kupiga mbiu kuja kuwakabili. Ndipo mkurugenzi akaomba msaada wa polisi wa ziada kutoka mkoani Simiyu. Wananchi wakapiga kambi hapo kituoni wakiwa na hasira kali huku wakitoa ahadi kuwa mwenyekiti huyo wa CCM labda wamlinde jumla wasiondoke. Baada ya siku tatu RPC akátua kijijini hapo kuona kunanini haswa. Baada ya kushuhudia hali ya mambo alionesha wazi kuumizwa na tukio hilo ndipo akamuamuru mkurugenzi kutoa haki kwani polisi walikuwa hapo ni wengi(gari 3) na magari yana matumizi mengine. Mdipo hapo RPC akamtangaza na kumkabidhi funguo mgombea wa CHADEMA jana ijumaa na amani kurejea.m

yaan huu mqezi umeniondolea stress zangu zoteee,piga magamba hayoo
 
Hao vijana ni wahuni, sio wananchi.

Wahuni ni akina nani na wananchi ni akina nani..? Kwa hiyo RPC Naye kawaunga mkono wahuni..? RPC nae ni muhuni kwa kuunga mkono wahuni..?
Unastahili kifungo cha mwezi mzima wewe ili akili zikurudie..
 
Ndiyo Sababu watu wa mikoa YA nje na Dar wanatutizama Watu wa Dar kama wasaliti na waoga. Hii spirit ilitakiwa iwe imeasisiwa na wana Dar lakini tumetanguliza SANA matumbo yetu mbele zaidi YA harakati kama hizi. Hongera wana Simiyu

Kuna mtu mmoja aliniambia eti watu wa Dar wote ni wa jinsia ya ke labda ni kweli
 
Back
Top Bottom