Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Ni Lucas Ng'oboko sio Ngoboko wala Koboko mwenye gamba. Misuli yote ile haikufua dafu kwa kifo? Kweli 'kifo ni kiboko yao' kama alivyosema Dr. Remmy
Kifo ni kitendo cha roho kuicha mwili Mkuu, kwa hiyo unatakiwa kuijenga mwili na roho pia, siyo kujenga mwili tu wakati roho inaangaika na haina uhusiano kamili na mwili.