LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Ni hbr ya kuaminika na niliyona kwa macho yangu RPC wa mkoa wa Kilimanjaro akiteremshwa hapa CASUALTY akiwa ameletwa na Landcruiser ya Police na habari nilizopata dk chache baada ya kuteremshwa ni kwmb ameshaaga dunia. WanaJF mtapata hbr zaidi.