Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Akizunguma na Kituo cha Redio cha Zenji FM, 96.8 cha Zanzibar katika kipindi maarufu cha 'Mwangaza wa Habari', Selelii ameeleza kuwa aliambiwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz anahusika na Kampuni ya Richmond na pia ni Mmiliki wa Kampuni ya Caspian, na hili kamati teule tuliambiwa na mwandishi wa habari aliyebobea, ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu bwana Salva Rweyemamu," alisisitiza Selelii.
"Ushahidi mwingine tulioambiwa kamati teule ya Bunge kwamba mmiliki wa Kampuni ya Richmond ndiye mmiliki wa Kampuni ya Caspian,ni mfanyakazi wake mwenyewe(Rostam),ambaye alithibitisha kwamba mawasiliano yote ya Dowans yalikuwa yakipitia katika kampuni ya Caspian", alithibisha Selelii.
"Mtu mwingine ambaye alituthibitishia kwamba Kampuni ya Richmond na Dowans ni kitu kile kile,ni mtoto wa mwanasheria maarufu sana nchini aliyekuwa akiitwa Mukaddas, ambaye ndiye aliyesaidia hata kupata nyumba ambayo walipanga, ambaye yeye ndiye alikuwa akilipia pango ya nyumba hiyo,kuanzia wakati wa Richmond na baadaye Dowans" alisema.
"Ushahidi mwingine tulioambiwa kamati teule ya Bunge kwamba mmiliki wa Kampuni ya Richmond ndiye mmiliki wa Kampuni ya Caspian,ni mfanyakazi wake mwenyewe(Rostam),ambaye alithibitisha kwamba mawasiliano yote ya Dowans yalikuwa yakipitia katika kampuni ya Caspian", alithibisha Selelii.
"Mtu mwingine ambaye alituthibitishia kwamba Kampuni ya Richmond na Dowans ni kitu kile kile,ni mtoto wa mwanasheria maarufu sana nchini aliyekuwa akiitwa Mukaddas, ambaye ndiye aliyesaidia hata kupata nyumba ambayo walipanga, ambaye yeye ndiye alikuwa akilipia pango ya nyumba hiyo,kuanzia wakati wa Richmond na baadaye Dowans" alisema.