Tangu lini ukaona mwenye pesa akachukuliwa hatua Tanzania??, hili jambo sasa liwe katika mikono ya wananchi wenyewe maana hao viongozi wetu na justice system ni marehemu. THEY DON'T EXIST!!. I do not condone what happened in Tunisia (deaths), but i support the efforts made and i can see it calling here in TZ!!