Are you sure? kwani bajeti ya kutuma txt msgs na internet ni kiasi gani?Chadema bado hawana mapesa aliyo nayo Rostum Aziz, EL na Karamagi.
Chadema bado hawana mapesa aliyo nayo Rostum Aziz, EL na Karamagi.
Jamani ni kweli hawa watu wana mapesa mengi machafu, lakini sidhani kama UKOMBOZI wa kweli utapatikana kwa kutumia fedha..
Walipojitokeza wananchi kwa maelfu kumpokea Zitto, hawakulipwa hata senti tano, sana sana fedha zilitumika katika maandalizi.
Jambo la msingi ni kufanya maamuzi. Humu ndani watu wanajitolea na huu ni mfano tosha. Kwa kuanzia wahakikishe wanafanya kazi ya kufuatilia nyendo zote zinazoelekea kutaka kuvuruga UKOMBOZI na kujibu mapigo kwa haraka. NASIKITIKA KUSEMA HILI SI LA CHADEMA. NI LA WATANZANIA WOTE hata wa CCM.
UKOMBOZI NI WA WOTE.
Are you sure? kwani bajeti ya kutuma txt msgs na internet ni kiasi gani?
nadhani its about time CHADEMA wakaanza kuwa active na mambo haya badala ya kukaa pembeni kulalamika
Jamani ni kweli hawa watu wana mapesa mengi machafu, lakini sidhani kama UKOMBOZI wa kweli utapatikana kwa kutumia fedha.. Walipojitokeza wananchi kwa maelfu kumpokea Zitto, hawakulipwa hata senti tano, sana sana fedha zilitumika katika maandalizi. Jambo la msingi ni kufanya maamuzi. Humu ndani watu wanajitolea na huu ni mfano tosha. Kwa kuanzia wahakikishe wanafanya kazi ya kufuatilia nyendo zote zinazoelekea kutaka kuvuruga UKOMBOZI na kujibu mapigo kwa haraka. NASIKITIKA KUSEMA HILI SI LA CHADEMA. NI LA WATANZANIA WOTE hata wa CCM. UKOMBOZI NI WA WOTE. MWALIMU ALISHIRIKIANA SANA NA WATUMISHI WA SERIKALI YA WAKOLONI NA NDIPO ALIPOFANIKIWA. TUTUMIA RASILIMALI WATU TULIZO NAZO, INAPOFUKIA KWAMBA TUNAKWAMA NDIO TUANGALIE GHARAMA ZA KIFEDHA LAKINI SASA HIZO RASILIMALI WATU NA NYINGINE ZILIZOPO NDANI YA UWEZO WETU WATANZANIA WAPAMBANAJI HATUJAZITUMIA IPASAVYO< TUZITUMIE SASA
Jamani ni kweli hawa watu wana mapesa mengi machafu, lakini sidhani kama UKOMBOZI wa kweli utapatikana kwa kutumia fedha.. Walipojitokeza wananchi kwa maelfu kumpokea Zitto, hawakulipwa hata senti tano, sana sana fedha zilitumika katika maandalizi. Jambo la msingi ni kufanya maamuzi. Humu ndani watu wanajitolea na huu ni mfano tosha. Kwa kuanzia wahakikishe wanafanya kazi ya kufuatilia nyendo zote zinazoelekea kutaka kuvuruga UKOMBOZI na kujibu mapigo kwa haraka. NASIKITIKA KUSEMA HILI SI LA CHADEMA. NI LA WATANZANIA WOTE hata wa CCM. UKOMBOZI NI WA WOTE. MWALIMU ALISHIRIKIANA SANA NA WATUMISHI WA SERIKALI YA WAKOLONI NA NDIPO ALIPOFANIKIWA. TUTUMIA RASILIMALI WATU TULIZO NAZO, INAPOFUKIA KWAMBA TUNAKWAMA NDIO TUANGALIE GHARAMA ZA KIFEDHA LAKINI SASA HIZO RASILIMALI WATU NA NYINGINE ZILIZOPO NDANI YA UWEZO WETU WATANZANIA WAPAMBANAJI HATUJAZITUMIA IPASAVYO< TUZITUMIE SASA
kweli? Sidhani kama PR machinery ya CHADEMA iko up to the job.Unachokiona ni NCCR-MAGEUZI /MREMA REDUX. CHADEMA at the moment wako prone na makosa ambayo waliyafanya akina MREMA in the 90'sMie nasikia wako kazini, wamewasha moto. We umesikia wanalalamika? Au ni lugha tu!
Inawezekana RA anahusika na baadhi au yote yaliyojengewa hoja humu lakini ukweli unabaki kwamba hela zake before 2005 alizipata kwa njia yake halai kabisa, hakuibia mtu.
Pia ni vizuri ikaeleweka kwamba spinning politics zipo kila nchi, blair alizicheza sana na brown bado anazicheza, bush anazicheza kila siku na kadhaa wa kadhaa. Kwa hiyo kinachoendelea si kitu kigeni na sio uhalifu ingawa kimsingi, kama anafanya hayo yote sio jambo la busara because it will become counterproductive.
Katika kila nchi, kila uongozi unakuja na kambi yake na tactics zake. Hata angepita malecela, salim, mwandosya, kungekua na hoja kama hizi nyingi tu, may be worse. Solution ni kwa upinzani na wao kuja na tactics zao au propaganda, hilo halikatazwi.
Kuhusu link ya Karamagi, RA na wengine waliotajwa, kuna ushahidi gani? tunauomba tafadhali ili tuzidi kuelewa nini kinaendelea. Sijaona popote kwenye magazeti kuhusu RA kuwa mwizi, mla rushwa etc. Uwezekano upo ila tunaomba ushahidi. Kuna kina thisday, mwanahalisi etc na wanaweza kabisa kutuwekea bayana majambo haya.
Kama mtu ataweza kutofautishwa between TRUTH and KNOWLEDGE in such a contezt, nitaeleweka vizuri sana kuhusu maswali yangu ya ushahidi. KNOWLEDGE vs TRUTH ndio basis ya hoja yangu ya msingi.
kweli? Sidhani kama PR machinery ya CHADEMA iko up to the job.Unachokiona ni NCCR-MAGEUZI /MREMA REDUX. CHADEMA at the moment wako prone na makosa ambayo waliyafanya akina MREMA in the 90's
Mchambuzi,
Uliyoandika hapa hayafanani kabisa na jina lako, labda kama wewe ni mgeni katika Tanzania. hapa tunazungumzia spinning, siyo kwamba ilizaliwa Tanzania, ila tunachosema ni ubaya wake, hasa pale uongozi unaosaidiwa na spin doctors unapokuwa wa hovyo kama huu wa muungwana JK.
Nisaidie tu kukuonya. Dont' do any spinning here! JF guys are quite alert!
Tunachokosa hapa wana JF ni kule kudhani kwamba kila mkakati wa CHADEMA utawekwa hapa. Yapo mengi tusiyoyajua yanayoendelea, na kisiasa huo ni mkakati poa. Unapokuwa unashindana, hasa unapokuwa umeshikilia makali, yapo mengi usiyopaswa kubwabwaja in public, na unayopaswa kufanya kimya kimya.
Mi naamini nao wanajifunza katika historia, kwani hawawezi kuipuuza. Ila ukumbuke kuwa NCCR ilishakufa zamani, wapo wazungumnzaji kina Mbatia, nao chama kimewalemea, wanatafuta mahali pa kukitua. TLP vile vile. Mrema amekimbiwa na kila mtu na mtaji wa kisiasa umemkimbia, hasa baada ya kuwafukuza wasomi wote...na kuwafanyia njama makatibu wakuu ake, akabaki alivyo leo. Sasa tuna vyama viwili tu CHADEMA na CUF, ndiyo sababu CCM wanafanya kila wawezalo kubomoa hivyo.
Usidhani sisi ndio pekee tunaoona hili CHADEMA hawaoni. Kama sisi tunashinda kwenye mtandano kupiga domo, nao kuna mahali wanashinda kufanya kazi ambazo haziwi up-loaded hapa.
Nadhani unatutoa nje ya mada. Hakuna mtu aliyesema kwamba kuspin kumeanzia Tanzania, wala aliyesema kwamba tunapingana na historical aspect ya spinning. Huo siyo mjadala tulionao hapa. Lililo mbele yetu sote hapa ni kwamba tumegundua wanaofanya spinning hiyo na tunatahadharishana tusitumbukie katika mtego wao, kwa sababu they are not spinning for our good cause.
unayoyasema ni kweli kabisa lakini naweza kukuhakikishia kuwa PR machine ya CHADEMA haiko as effective kama ambavyo unavyofikiria au wanavyotaka kuimply.Ni kweli wana network nzuri na haswa toka kwa watu wa kaskazini ambao wako kwenye idara nyeti za serikali hivyo kupata "MABOMU" si tatizo lakini sasa hawawezi kukaa kutegemea mabomu tuuu. Wao ilitakiwa wawe wana ikosoa serikali kupitia mawaziri vivuli walionao.Nitakupa mfano mdogo tuuu. Unakumbuka yale maneno ya Mbowe kwenye Uwanja wa mashujaa kuwa bora serikali ya mkoloni? ili ilikuwa ni political suicide na walikuwa na nafasi nzuri ya kuirekebisha ile on the next day kuwa Mheshimiwa Mbowe alikuwa quoted out of context and so on na haikuwa nia yake kusema maneno yale katika uwanja ule...
Vile vile wanaye huyu kijana ZITTO KABWE ambaye ni avarage tuuu lakini hawawezi kumtegemea ZITTO pekeyake inabidi wawe na akina ZITTO 10 lakini tatizo ni kuwa Zitto yuko prone to gaffes, Na kama ZITTO anaweza kumoutshine leader wake kwa nini CHADEMA wasimpe specia ssistants ambao watakuwa wanampa hayo MABOMU ambayo hayatopelekea kusimamishwa au kupewa onyo?
Na yule Mzee SLAA kupeleka e-mail bungeni kutaka uchunguzi ufanywe bila ya yeye kuwa na enough materials kuback up motion yake ilikuwa ni makosa makubwa kisiasa, japo inawezekana ikawa kuna dalili za ukweli kwenye ile e-mail lakini still PR MACHINE ya CHADEMA ilifail kucapitalise na waliprove kuwa hata hizo source za "MABOMU" yako haziko that effectivekama ambavyo wengi wanafikiria.
Hivi unaweza kuniambia mara ya mwisho CHADEMA kama leading opposition paty Tanzania walitoa tamko ya Foreign Policy yetu kuhusu Majeshi yetu kuwepo SADC au kupelekwa LEBANON au performance ya balozi zutu nje?