Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
MWAFRIKA WA KIKE swahiba mwenye akili, nakuuliza suala njaa imekukabili, nusu ya mwezi hujala likaja kombe la wali, ukawekewa mahala hula ndipo ukanawa, au hunawa kisha ukala
Swahiba wangu SHY,
Nitatumia kijiko (si unajua tena kama ulisoma public school na unaishi shule kuna mambo ya kuwa na kijiko au folk all the time)
hhi hih hihi hihih siwezi kusubiri kunawa... nitatoa kijiko changu na kuanza makamuzi.