Kalamu na wananchi wenzangu, mi nadhani from now onwords, tuanze kufikiria si tuu kuwaidentify hawa wanaotuhujumu. Tuanze kustrategize kipi tunaweza kufanya katika hizi harakati. Kila mtu akitimiza wajibu wake. Hakika, mambo yatabadilika. Maana hawa mafisadi wameshakula vya kutosha mno. we cant afford any other minute of waiting. Tupeane mawazo katika hili.
Kazi ya kwanza, kama habari alivyotuletea mzalendo mwenzetu TazaniaNjema ni mhimu sana.
Kaziya pili ni kuwashambulia kwa kila njia hao wala peremende,akina Dr. nani huyo Shoo na mwenzake - hao ni saizi yetu kwa haraka haraka. Hao mafisadi wenyewe ndio shida kubwa kwani wana kinga ya wakubwa waliowaweka mifukoni mwao.
Hebu tukunevichwa, sisi kama wanaJF, tunaweza kufanya nini zaidi ya kuwapigia kelele na kuwaanika wananchi wawaone uchi?
Lakini ninakubali sana mawazo yako: tu-strategize, ni kipi tunachoweza kukifanya kuwakomesha hawa maadui wa nchi yetu?