Habari za kuaminika kutoka Igunga zinasema, katika hali ya kutatanisha mbunge wa Igunga bw. rostam aziz ambaye anafanya ziara jimboni kwake, amesikika akisema muda si mrefu atang'atuka kwenye siasa.
Akifanya mikutano ya hadhara katika sehemu mbali mbali za Igunga, amerudia ujumbe wa kung'atuka mara kwa mara. wengi wamejiuliza kwa nini anaongelea kung'atuka badala ya kuhimiza maendeleo!
Hata hivyo, katika sehemu nyingi, amepata mapokezi hafifu tofauti na zamani kabla ya tuhuma za ufisadi kumwandama! hali ilikuwa mbaya zaidi katika vijiji vya Ziba, Simbo na Nkinga ambapo wananchi walidiriki hata kumzomea mbali ya kubeba mabango yanayoeleza tuhuma zake!
Akifanya mikutano ya hadhara katika sehemu mbali mbali za Igunga, amerudia ujumbe wa kung'atuka mara kwa mara. wengi wamejiuliza kwa nini anaongelea kung'atuka badala ya kuhimiza maendeleo!
Hata hivyo, katika sehemu nyingi, amepata mapokezi hafifu tofauti na zamani kabla ya tuhuma za ufisadi kumwandama! hali ilikuwa mbaya zaidi katika vijiji vya Ziba, Simbo na Nkinga ambapo wananchi walidiriki hata kumzomea mbali ya kubeba mabango yanayoeleza tuhuma zake!