Diplomasia ya uchumi chini ya Rais Samia inazidi kulipa. Rostam ruksa Kenya

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Baada ya kukwama mara ya kwanza hatimaye Mfanyabisahara maarufu nchini Tanzania, Rostam Aziz anatarajia kuanza rasmi utekelezaji wa mradi wake wa gesi nchini Kenya huku akisifia mazingira bora ya uwekezaji katika nchi hiyo.

Rostam kupitia kampuni yake ya Taifa Gas ameruhusiwa kutekeleza mradi wake ambao unatajwa kuwa na thamani ya Dola za kimarekani 130 milioni (Sh304 bilioni) hali itakayomfanya kuwa kampuni kubwa zaidi ya gesi katika nchi hiyo namba moja kiuchumi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Katika mradi huo Taifa Gas itajenga mtambo wa tani 30,000 katika eneo maalumu la uwekezaji Dongo Kundu jirani na Bandari ya Mombasa, hivyo kuongeza ushindani kwa kampuni za Vivo, Rubis na Total pamoja na Africa Gas and Oil Limited (AGOL) zinazosambaza nishati hiyo nchini humo.

Taarifa ya iliyotolewa na taifa gesi leo Alhamisi Februari 23, 2022 imeeleza uzinduzi rasmi wa mradi huo wa mabilioni ya Shilingi utafanyika Jumapili, Februari 26 mwaka huu na utaongozwa na Rais William Ruto.

Ikumbukwe Rostam Aziz ni miongoni mwa Wafanyabiashara walioongozana na Mhe Rais Samia Suluhu katika ziara yake nchini Kenya ambapo Mei 5, 2021 katika kongamano la wafanyabiashara wa Tanzania na Kenya alizungumzia changamoto anazokutana nazo katika jitihada za kuwekeza nchini Kenya ambapo mamlaka husika ziliahidi kufanyia kazi changamoto hizo

Chanzo: Mwananchi

182070828_1948223055332044_6870303737836331571_n.jpeg
 
Ni wakati. Ruo yuko serious, Kenyatta alikuwa akishikwa mikono n matajiri wanaompa kitu!
 

Business




J.P. Morgan to set up regional office in Nairobi​

Wednesday, February 22, 2023
jpmorganpic.jpg


By The Citizen Reporter
Media/news company
Mwananchi Communication Limmited

Summary​

  • Due to market conditions and legal obstacles, the decision to establish a regional office in Nairobi has taken years to come to pass.
Nairobi. JP Morgan, the largest bank in the United States and the world’s sixth-largest bank by total assets, has announced the opening of a regional office in Nairobi, Kenyan media has reported.

The move has been hailed by Kenya’s President William Ruto as a “vote for Kenya’s emerging success in the global marketplace.”
He said that this was a vote for Kenya’s emerging success in the global marketplace and a sign of confidence in Kenya’s economy.

ALSO READ​

Ruto met with Daniel Zelikow, the vice-chairman and global head of JP Morgan Public Sector Group in Nairobi, and discussed how to revise development financing to be more responsive to climate change.
“We welcome the firm’s expertise in environmental risks that will help Kenya to sustainably confront the climate change crisis,” Ruto said.
J.P. Morgan is a leader in financial services on a global scale, providing answers to businesses, governments, and organizations in more than 100 nations.
The company was founded more than 150 years ago and is named after American financier and investment banker John Pierpont Morgan Sr., who dominated corporate finance on Wall Street during the Gilded Era.
Due to market conditions and legal obstacles, the decision to establish a regional office in Nairobi has taken years to come to pass.
 
Na hii Ni habari nzuri ,Mana najua wataruhusu watu wa trade stocks za duniani huko pia na various derivative financial underlying assets.
Sio lazima ninunue gold nitunze ili ikue naweza Nika speculate nikanunua mtandaoni, kwanza ukiinunua physically Ni risk kuvamiwa.
Hii dunia acheni mzungu aitwe mzungu jamani.yaani akitoka Muumbaji na malaika zake Basi anafuata mzungu nadhani
 
Back
Top Bottom