Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
watu wengine wa ingunga tunawaelewa kwa kusema hivyo, umasikini na kutowahi kutendewa haki yao na wabunge waliopita imewafanya waone rostam ni mtu pekee anayewafaa wao.
ila kama kiongozi wa upinzani wilayani hapo, kwa kweli inasikitisha. hivi kwa miajili haya upinzani utafanikiwa kweli!
ila kama kiongozi wa upinzani wilayani hapo, kwa kweli inasikitisha. hivi kwa miajili haya upinzani utafanikiwa kweli!