Rostam Aziz kugeukia Waislamu, Kuibua wengine CHADEMA

Sasa nayakumbuka maneno ya Mwalimu Nyerere kuwa Tanzania itajengwa na wenye moyo. Inahitaji mtu kuwa na moyo thabiti kabisa kusalimika katika upinzani, maana inavyoonekana mamluki wa mafisadi wametapakaa kama sangara katika ziwa Viktoria.
 
Hakuna wakati ambao Tanzania imeshawahi kupwaya kwenye uongozi wa juu kama sasa!!! Mafisadi wanatamba na fedha zao kila mahali... vyama vya siasa, bungeni, na sasa hao wameingia makanisani!!!!!!!!!!!! Oho!! God no!!! we need a president who is not a mafisadi's puppet!!!!!!!!
 
Huyu rostam ni nani??anataka kujifananisha na muumba wa mbingu na dunia hapa bongo? but am sure this guy is iranian..why all these in Tz??
 
Basi huyu chacha ni mtu hatari, duh anawatukana matusi ya nguoni na kutaka kuwapiga baadhi ya viongozi wenzake! Kama hii habari ni ya kweli na kweli tupu basi huyo sio kusimamishwa tu, bali anafaa kufukuzwa hata uanachama.

Hafai kuwa kiongozi wa wananchi, kiongozi mzuri haongozwi na jazba, bali ni msikivu, mvumilivu na anayeshaurika.

Mama, huyu jamaa pamoja na kuwa simjui anaelekea ni muhuni tu asiyetaka kufuata taratibu zilizowekwa ili kutatua matatizo yaliyokuwepo ndani ya chama hicho.

Ukiwaangalia watu kama Zitto, Lissu na Dk Slaa wanaonekana ni waungwana na mbao wako tayari kumaliza matatizo ndani ya chama hicho, lakini hii njemba kwa kuwa imepandikizwa na CCM basi inataka kuhakikisha kabla ya kuondoka inavuruga kila kitu ndani ya CHADEMA.
 
Mama, huyu jamaa pamoja na kuwa simjui anaelekea ni muhuni tu asiyetaka kufuata taratibu zilizowekwa ili kutatua matatizo yaliyokuwepo ndani ya chama hicho.

Ukiwaangalia watu kama Zitto, Lissu na Dk Slaa wanaonekana ni waungwana na mbao wako tayari kumaliza matatizo ndani ya chama hicho, lakini hii njemba kwa kuwa imepandikizwa na CCM basi inataka kuhakikisha kabla ya kuondoka inavuruga kila kitu ndani ya CHADEMA.

unaweza kuwa na bio ya huyu jamaa wangwe?
 
Wanabodi,
Kuhusiana na Rostam tulishambiwa miaka kibao na Field marshall ES a.k.a - Mzee Es...Bado hadi leo tunajiuliza kuhusiana na nguvu ya huyu jamaa?...
Mi nashangaa sana hizi habari za watu kubisha kitu wakati kipo wazi kabisa. Hadi mambo yawe mabaya ndio mnashituka too late mtu kisha chukua ushindi... Hii tabia gani jamani ebu nifahamisheni..hivi huyu Rostam mnamsikia tuu ama?
Tatizo la Tanzania sio kina Wangwe bali ni watu kama Rostam. Nilishasema kwamba siku zote ukikata mkondo wa maji sii rahisi kuwepo mafuriko ya maji lakini ni rahisi zaidi maji kumwagika hovyo ikiwa mkondo huo utaendelea kuwepo...Maadam ujenge ukuta (levy) kwa manufaa ama faida ya Umma kama vile mabwaya ya nguvu za Umeme.
Mafisadi tanzania, watu kama Rostam ni hatari zaidi ni mito inayosubiri mvua kubwa kuanzisha mafuriko ambayo kesho kwa ujinga wetu wenyewe tutasema kwa visingizo kuwa ni kazi ya Mungu. Na akili zetu zitabakia kuamini kuwa kweli ni kazi ya Mungu wakati kinga ilitakiwa kujengwa mapema..Kinga ambayoo inaleta sio tu faida ya kuzuia mafuriko (maji = kina Wangwe) bali pia wananchi wanapata Umeme wa uhakika.
 
Mkuu PM,

Maneno yako mengi ni mazito sana, lakini inasikitisha sana kwamba mtu kama huyu mliweza kumpa umakamu wa mwenyekiti, tena miezi saba tu iliyopita that does not make a sense,

Haiwezekani kuwa Wangwe amefanya haya unayosema katika kipindi cha miezi saba tu, ni lazima amekuwa na hizi tabia siku zote, na hapa kwenye maneno yako mengi hakuna unapoonyesha Rostam kuhusika na kumpa Wangwe ubunge, au umakamu wa mwenyekiti wa Chadema,

Leo nimesikiliza kwa makini maneno ya Lisu na Wangwe, Yes Wangwe anaonekana kuwa ni mwanasiasa kuliko nyinyi wengine kwa sababu pamoja na matatizo mengi aliyonayo, bado kwenye Radio anaonekana kuwa more credible kuliko upande wenu, unless the man ana two different personalities,

Mwanasiasa yoyote mzuri ni yule anyeweza kueleza tatizo la ndani la chama chake bila ya kuiongeza ukubwa kuliko ilivyo, in the process anafanikiwa kuipunguza makali ishu kubwa na kuonekana ndogo sana mbele ya umma, ili kutoa nafasi ya tatizo kutatuliwa kwa urahisi ndani ya vikao vya chama, kwa sababu ishu ikishafanywa kubwa kwa mbele jamii kuliko ilivyo, basi itakuwa vigumu hata kuitatua ndani ya vikao, kwenye hili Wangwe makes more sense na he comes accross as a credible leader, ingawa kwa wale tunaomjua kidogo kisiasa tunajua kuwa ni magirini, lakini huwezi ku-denial kuwa the man is a true politician kwa sababu anaonekana kuwa mzima sana kwenye propaganda,

Ninarudia kuwa next time Chadema, mtakapokaa chini please mjaribu kuyatatua bila kuyaleta kwenye media, mtakisaidia sana chama hiki ambacho kwa kweli tunakihitaji sana kwa wakati huu wa mapambano ya mafisadi, sawa Rostam ni another problem of our nation lakini sio yeye aliyempa Wangwe umakamu wa mwenyekiti huko Chadema.

Ahsante Wakuu!
 
Mkuu PM,

Maneno yako mengi ni mazito sana, lakini inasikitisha sana kwamba mtu kama huyu mliweza kumpa umakamu wa mwenyekiti, tena miezi saba tu iliyopita that does not make a sense,

Haiwezekani kuwa Wangwe amefanya haya unayosema katika kipindi cha miezi saba tu, ni lazima amekuwa na hizi tabia siku zote, na hapa kwenye maneno yako mengi hakuna unapoonyesha Rostam kuhusika na kumpa Wangwe ubunge, au umakamu wa mwenyekiti wa Chadema,

Leo nimesikiliza kwa makini maneno ya Lisu na Wangwe, Yes Wangwe anaonekana kuwa ni mwanasiasa kuliko nyinyi wengine kwa sababu pamoja na matatizo mengi aliyonayo, bado kwenye Radio anaonekana kuwa more credible kuliko upande wenu, unless the man ana two different personalities,

Mwanasiasa yoyote mzuri ni yule anyeweza kueleza tatizo la ndani la chama chake bila ya kuiongeza ukubwa kuliko ilivyo, in the process anafanikiwa kuipunguza makali ishu kubwa na kuonekana ndogo sana mbele ya umma, ili kutoa nafasi ya tatizo kutatuliwa kwa urahisi ndani ya vikao vya chama, kwa sababu ishu ikishafanywa kubwa kwa mbele jamii kuliko ilivyo, basi itakuwa vigumu hata kuitatua ndani ya vikao, kwenye hili Wangwe makes more sense na he comes accross as a credible leader, ingawa kwa wale tunaomjua kidogo kisiasa tunajua kuwa ni magirini, lakini huwezi ku-denial kuwa the man is a true politician kwa sababu anaonekana kuwa mzima sana kwenye propaganda,

Ninarudia kuwa next time Chadema, mtakapokaa chini please mjaribu kuyatatua bila kuyaleta kwenye media, mtakisaidia sana chama hiki ambacho kwa kweli tunakihitaji sana kwa wakati huu wa mapambano ya mafisadi, sawa Rostam ni another problem of our nation lakini sio yeye aliyempa Wangwe umakamu wa mwenyekiti huko Chadema.

Ahsante Wakuu!

Hapo umenena mzee!
 
Kama unabisha kuwa Chacha hakuamka kutaka kumpiga Tundu Lissu au kama hakumtukuna Chiku aku kusema lugha mbaya kwa Baregu hebu waulize wahusika niliowataja. Wote hawa nimeongea nao kuthibitisha habari yangu. Chacha 0782488133, au 0713488133. Tundu Lissu 0754447323 na Baregu 0713506382. Mtu pekee ambaye sijampata ni Chiku Abwao. Mwenye namba ya Mama Chiku anipatie tafadhali

PM
Namba ya Chiku Abwao, Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, ni +255754831499
 
Mkuu PM,

Maneno yako mengi ni mazito sana, lakini inasikitisha sana kwamba mtu kama huyu mliweza kumpa umakamu wa mwenyekiti, tena miezi saba tu iliyopita that does not make a sense,

Ahsante Wakuu!


Mkuu mambo vipi? Nakubaliana na yote uliyoyasema, lakini tukumbuke kwamba mtu akitaka kuingia mahali kwa nia ya kuvuruga basi anaweza kabisa kujifanya muungwana na muadilifu wa hali ya juu. Akishaingia atasubiri mpaka pale wale waliomo ndani waonyeshe wana imani naye na kutomshuku ili apate nafasi ya kuifahamu mikakati yote ya chama. Akishafanikiwa tu basi hapo ndipo anapoanza kufanya yale yaliyomfanya aingie ndani ya chama hicho.

Kusema kweli hili la mapandikizi ndani ya vyama na CCM kutumia pesa ili kuvivuruga vyama vya upinzani linasikitisha sana kwa sababu Watanzania wengi tunapenda kuona vyama vya wapinzani vinakuwa na nguvu na kuweza kushika madaraka pale ambapo Watanzania watakapoamua kukipa kimoja ya vyama hivyo nafasi ya kuiongoza nchi. Huu mkakati wa CCM kudhoofisha vyama vya upinzani athari yake haishii kwa vyama vya upinzani tu, bali athari yake ni kwa Tanzania nzima maana nchi inakuwa haipigi hatua yoyote kimaendeleo kutokana na kuwa na upinzani dhaifu, hivyo kuipa nafasi CCM kuendeleza ufisadi wao kama tunavyoufahamu. Naam tuseme kwa sauti moja Watanzania na sauti ya nguvu kwamba juhudi za CCM kuvidhoofisha vyama vya upinzani kwa kutumia pesa au mamluki ili CCM kiendelee kuwa madarakani milele nao ni UFISADI!!!

Kama tunavyoona mafisadi bado wanapeta huku na kule, bado wanaalikwa makanisani na misikitini na wanatumia pesa za walizozipata kifisadi kuzorotesha mapambano dhidi ya ufisadi. Hawa wote walitakiwa wawe rumande wakati uchunguzi ukiendelea (kama kuna uchunguzi wowote unaoendelea au ndiyo tunapakwa mafuta ya mgongo).
 
unaweza kuwa na bio ya huyu jamaa wangwe?

Mama nimeichukua hii toka web site ya Bunge

1391.jpg


First Name: Chacha
Middle Name: Zakayo
Last Name: Wangwe
Constituent: Tarime
Date of Birth: July 15, 1956

--------------------------------------------------------------------------------
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
University of Dar es Salaam Certificate (Edu.) 1978 1979 CERTIFICATE
Kinondoni Muslim Secondary O-level Education 1973 1974 SECONDARY
Nyaroha Secondary School O-level Education 1969 1970 SECONDARY
Magoto Primary School Primary Education 1966 1968 PRIMARY
Rosana Primary School Primary Education 1962 1965 PRIMARY

--------------------------------------------------------------------------------
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
--------------------------------------------------------------------------------
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Tarime Municipal Councilor (Tarime Town) 2001 2005
NCCR - Mageuzi Regional Secretary (Mara Region) 1998 2000
Africa Mashariki Gold Mines Field Supervisor 1994 1997
LACOP Interservices Co. Ltd Director 1983 1989
German Volunteer Service Language Tutor 1980 1982
National Bank of Commerce (NBC) Accounts Clerk 1977 1977

--------------------------------------------------------------------------------
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
CHADEMA Chairman (Mara Region) 2002 2005
NCCR-Mageuzi Secretary General (Mara Region) 1998 2000
CHADEMA Chairman (Tarime District) 1994 1998
TANU Youth Chairman (Mkwawa High School) 1975 1976
 
FMES,
Mkuu ulosema ni mazito na ndio hofu yangu kubwa sana pale Chadema walipoyakuza na kuyapeleka kwa wananchi ama Media..
Yawezekana kabisa kuwa huyu Wangwe ni mshenzi, jambazi na kweli amefanya makosa kwa makusudi.. lakini kama kesi hii inapelekwa ktk mahakama ya wananchi yaani ktk media bila ushahidi unaohusiana na madai ni hatari zaidi kwa washtaka kushindwa...
Na uwakilishi wa huyu jambazi Wangwe umekuwa na uzito kuliko ukweli wenyewe inawapa wananchi wakati mgumu sana kutoa hukumu ya guilty...kinachotangulia ktk mawazo yao ni kuonewa kwa sababu Wangwe hajakana kuwa yeye ni mshinzi isipokuwa yeye kashitaki kutotendewa haki.. Hata Jambazi linahitaji kutendewa haki kinsingi! na kwa hakika hadi sasa naogopa kuwa huyu jamaa anaonekana anaweza kushinda nje ya wanachama wa Chadema na akaonekan hero kama kina Lowassa.
Yaani kila alichozungumza Wangwe kinamtisha mwananchi zaidi kuhusiana na Chama.. Kama vile mahakamani, jambazi lionyeshe maonezi ya Polisi waliompiga na kumtesa kabla hata hajafunguliwa mashtaka mahakamani..
Madonda aliyonayo Wangwe, yanawavutia wananchi wengi na kila wanapopima uwezo wa Chacha withn 7 month kuyafanya yote yaliyodaiwa inavuta nadharia ya kutowezekana...Na hata kama kaweza kweli je sio chama kilichompa nafasi na uwezo huo!.. Yale yale ya OJ Simpson iwe kaua ama hakuua jamaa yuko huru..
Hivyo hadi sasa maada majibu mengi bado yamelala, wananchi wengi wanashindwa kuamini kuwa huyu jamaa ni mchizi.. anajua anachokisema na haiwezekani kuyasema yote yale hata kama ni uongo yakawa na sura zinazoashiria kuwepo kwa maswala hayo..
Kama mnavyosema leo kuhusiana na Wangwe inatupa picha ya Ubaya wake na jinsi alivyokuwa hatari lakini Je, madai yake yote yana majibu gani tofauti!.. Spy siku zote hana haja ya ku prove kitu isipokuwa anawakilisha habari ambazo malengo yake ni kubomoa na laukama kweli kila alichosema kipo ama kuna dalili za kuwepo itawapotosha wengi kama tulivyopotoka ktk swala la Iraq na WMD!.. Powell mwenyewe aliingia mkenge akaliwakilisha UN ambako wote waliamini kilichowakilishwa isipokuwa hawakutaka nchi hiyo ivamiwe Kijeshi!..
 
Mkandara kama unavyosema ni kweli jambo kama hili likishafika kwenye media linakuwa gumu mno kulitatua kimya kimya. Viongozi wa juu wa CHADEMA wawe makini sana ili kuhakikisha hawajibizani na huyu jamaa kupitia media kitu ambacho yeye anakitaka ili avuruge zaidi. Wawaambie watu wa media kwamba haya ni matatizo ya ndani ya chama tutayatatua ndani ya chama na chochote atachosema wasikijibu, lakini hili nalo ni gumu maana anaweza kuanza kutaka kuwachafua zaidi viongozi wa juu ndani ya chama hicho.
 
Mkuu mambo vipi? Nakubaliana na yote uliyoyasema, lakini tukumbuke kwamba mtu akitaka kuingia mahali kwa nia ya kuvuruga basi anaweza kabisa kujifanya muungwana na muadilifu wa hali ya juu. Akishaingia atasubiri mpaka pale wale waliomo ndani waonyeshe wana imani naye na kutomshuku ili apate nafasi ya kuifahamu mikakati yote ya chama. Akishafanikiwa tu basi hapo ndipo anapoanza kufanya yale yaliyomfanya aingie ndani ya chama hicho.

Mkuu Heshima mbele,

Mimi mkuu ninaifahamu siasa na wanasiasa, wanaposema uongo ninajua na wanaposema ukweli ninajua, lakini kwenye hili Wangwe has a point tena nzito sana anaposema kuwa ameijenga sana Chadema toka Tarafa, Wilaya mpaka Mkoa wa Musoma, na ndio maana ameweza kufikia kuwa makamu, tukubaliane kama watu wazima hapa kuwa the man on this ana point nzito sana, kwa sababu haiwezekani kuwa Rostam alikuwa anamsaida huko kote kwenye tarafa, tukubaliane kuwa Rostam atakuwa amemuingia majuzi baada ya kuona opportunity hii,

kwenye hili la kwamba Wangwe ana nia mbaya na Chadema hoja sio nzito toka sana toka kwa viongozi wa Chadema, na hasa hoja ya Wangwe kupandikizwa kwa kweli haina mvuto kabisaa, kwa sababu haiwezekani kuwa CCM na Rostam ndio walioamua kuwa Wangwe awe makamu wa Chadema, kama ninaielewa vizuri hii ishu inaonekana CCM wamemrukia baada ya kuona mwanya hivi majuzi, maana kumbuka kuwa CCM sio chama cha kusaidia vilema ni chama cha siasa chenye lengo moja kuu la kutawala na mengine baadaye.

CCM has nothing to do na hii ishu, haya ni makosa ya uongozi wote wa ndani wa Chadema, ninarudia tena kuwa ni viongozi wote wakuu wa ndani wa Chadema ndio wenye hiii responsibility sio CCM, hiyo ni very cheap political tactic, kama ni Wangwe na urafiki na viongozi wa CCM hilo halkiwezi kabisa kuwa ishu kwa sababu ninawajua viongozi weengi wa Chadema, ambao ni marafiki na viongozi wa CCM, na bado haiwazuii kufanya kazi zao za kupigana na ufisadi.

Kuhusu CV ya Wangwe hilo sitaligusa kabisaa tena nashangaa sana wewe mkuu kulileta hapa kwa sababu sasa tukigusa CV za wengine itakuwaje?

Chadema wajisafishe wenyewe na hili la Wangwe, hili ni lao wamelikoroga tena la moto!
 
Mkuu Heshima mbele,

Mimi mkuu ninaifahamu siasa na wanasiasa, wanaposema uongo ninajua na wanaposema ukweli ninajua, lakini kwenye hili Wangwe has a point tena nzito sana anaposema kuwa ameijenga sana Chadema toka Tarafa, Wilaya mpaka Mkoa wa Musoma, na ndio maana ameweza kufikia kuwa makamu, tukubaliane kama watu wazima hapa kuwa the man on this ana point nzito sana, kwa sababu haiwezekani kuwa Rostam alikuwa anamsaida huko kote kwenye tarafa, tukubaliane kuwa Rostam atakuwa amemuingia majuzi baada ya kuona opportunity hii,

kwenye hili la kwamba Wangwe ana nia mbaya na Chadema hoja sio nzito toka sana toka kwa viongozi wa Chadema, na hasa hoja ya Wangwe kupandikizwa kwa kweli haina mvuto kabisaa, kwa sababu haiwezekani kuwa CCM na Rostam ndio walioamua kuwa Wangwe awe makamu wa Chadema, kama ninaielewa vizuri hii ishu inaonekana CCM wamemrukia baada ya kuona mwanya hivi majuzi, maana kumbuka kuwa CCM sio chama cha kusaidia vilema ni chama cha siasa chenye lengo moja kuu la kutawala na mengine baadaye.

CCM has nothing to do na hii ishu, haya ni makosa ya uongozi wote wa ndani wa Chadema, ninarudia tena kuwa ni viongozi wote wakuu wa ndani wa Chadema ndio wenye hiii responsibility sio CCM, hiyo ni very cheap political tactic, kama ni Wangwe na urafiki na viongozi wa CCM hilo halkiwezi kabisa kuwa ishu kwa sababu ninawajua viongozi weengi wa Chadema, ambao ni marafiki na viongozi wa CCM, na bado haiwazuii kufanya kazi zao za kupigana na ufisadi.

Chadema wajisafishe wenyewe na hili la Wangwe, hili ni lao wamelikoroga tena la moto!

Mkuu FMES Hata Mimi niliwapa ushauri huo wakati wa ule mjadala hapa!
Nikawaambia kuwa kama ni kweli haya yote kayafanya Wangwe...Then ni kwanini wanampa Umakamu?
Na nilishtushwa sana mara baada ya mjadala ule moto moto kufind out kuwa uwamuzi ni kumpa Wangwe umakamu mwenyekiti!
Nikasema kama kweli hao watu wana personal VENDETTA kiasi hicho then kufanya walichofanya hakukuwa na maslahi ya CHADEMA hata kidogo!
Tena na inteligensia zote walizokuwa nazo kuhusu Wangwe na wao kudai kuwa eti walisubiri kwani alionyesha kujirudi!?
 
Basi huyu chacha ni mtu hatari, duh anawatukana matusi ya nguoni na kutaka kuwapiga baadhi ya viongozi wenzake! Kama hii habari ni ya kweli na kweli tupu basi huyo sio kusimamishwa tu, bali anafaa kufukuzwa hata uanachama.

Hafai kuwa kiongozi wa wananchi, kiongozi mzuri haongozwi na jazba, bali ni msikivu, mvumilivu na anayeshaurika.

Mama si kila habari ni ya kuiamini ni kazi ya vijana wa MBOWE waliopo hapa,usinunue habari kirahisi namna hii.

Zitto Kabwe alikuwa akivaa koti la chifupa na anaandika kitabu cha marehemu chifupa si jumbe aliyekuwa mgombea mwenza wa mbowe.
 
Mkuu Heshima mbele,

Mimi mkuu ninaifahamu siasa na wanasiasa, wanaposema uongo ninajua na wanaposema ukweli ninajua, lakini kwenye hili Wangwe has a point tena nzito sana anaposema kuwa ameijenga sana Chadema toka Tarafa, Wilaya mpaka Mkoa wa Musoma, na ndio maana ameweza kufikia kuwa makamu, tukubaliane kama watu wazima hapa kuwa the man on this ana point nzito sana, kwa sababu haiwezekani kuwa Rostam alikuwa anamsaida huko kote kwenye tarafa, tukubaliane kuwa Rostam atakuwa amemuingia majuzi baada ya kuona opportunity hii,

kwenye hili la kwamba Wangwe ana nia mbaya na Chadema hoja sio nzito toka sana toka kwa viongozi wa Chadema, na hasa hoja ya Wangwe kupandikizwa kwa kweli haina mvuto kabisaa, kwa sababu haiwezekani kuwa CCM na Rostam ndio walioamua kuwa Wangwe awe makamu wa Chadema, kama ninaielewa vizuri hii ishu inaonekana CCM wamemrukia baada ya kuona mwanya hivi majuzi, maana kumbuka kuwa CCM sio chama cha kusaidia vilema ni chama cha siasa chenye lengo moja kuu la kutawala na mengine baadaye.

CCM has nothing to do na hii ishu, haya ni makosa ya uongozi wote wa ndani wa Chadema, ninarudia tena kuwa ni viongozi wote wakuu wa ndani wa Chadema ndio wenye hiii responsibility sio CCM, hiyo ni very cheap political tactic, kama ni Wangwe na urafiki na viongozi wa CCM hilo halkiwezi kabisa kuwa ishu kwa sababu ninawajua viongozi weengi wa Chadema, ambao ni marafiki na viongozi wa CCM, na bado haiwazuii kufanya kazi zao za kupigana na ufisadi.

Kuhusu CV ya Wangwe hilo sitaligusa kabisaa tena nashangaa sana wewe mkuu kulileta hapa kwa sababu sasa tukigusa CV za wengine itakuwaje?

Chadema wajisafishe wenyewe na hili la Wangwe, hili ni lao wamelikoroga tena la moto!

Mkuu si unaona wenzetu wa US na vyama vyao. Angalia jinsi Hillary Clinton, Bill Clinton na wafuasi wake milioni 18 ambavyo walikuwa wanataka sana Hillary aibuke kidedea ili awe the next president wa US. Pamoja na kuwa wametumia mamilioni ya dollar katika kampeni ambazo hazikusaidia chochote sasa wamerudi kambini ili kuhakikisha Rais atakayefuata wa US anakuwa wa kutoka Democratic party, kwa maana hiyo wameweka pembeni tofauti zao zote ili kuimarisha mshikamano ndani ya chama hicho kwa kujua fika ni athari kubwa kwa chama hicho, US na hata Dunia kwa Democratic party kuwa nje ya WH kwa miaka mingine minne.

Hivyo basi hata kama Wangwe kakijenga chama hata kuanzia ngazi ya chini namna gani haimpi nafasi ya kutaka kukivuruga chama hicho. Kuna taratibu zilizowekwa ndani ya chama hicho ambazo bila shaka Wangwe anazifahamu ambazo angehakikisha zinafuatwa ili kumaliza mgogoro uliokuwepo ndani ya chama hicho kimya kimya badala ya kuwapa faida CCM na kuiondoa issue ya ufisadi ambayo ndiyo imo midomoni mwa Watanzania na pia imetawala katika magazeti mbali mbali ya Tanzania kwa muda mrefu.

Migogoro au Matatizo ya chama hayakuanzia CHADEMA na hayataishia CHADEMA, lakini kuna taratibu zilizowekwa ili kutatua mara yanapotokea, ikiwa mhusika/wahusika hawako tayari kufuata taratibu zilizowekwa ili kutatua matatizo hayo basi inaonyesha ni jinsi gani ambavyo hawako tayari kuona kunakuwa na mshikamano ndani ya chama na badala yake wanataka vurugu ndizo zitawale ndani ya chama.
 
Mkuu Heshima mbele,
Kuhusu CV ya Wangwe hilo sitaligusa kabisaa tena nashangaa sana wewe mkuu kulileta hapa kwa sababu sasa tukigusa CV za wengine itakuwaje?

Chadema wajisafishe wenyewe na hili la Wangwe, hili ni lao wamelikoroga tena la moto!


Hili la CV limewekwa hadharani kabisa, sidhani kama wangezianika CV za Wabunge kama zingekuwa ni siri au Wabunge wenyewe wangeshalipinga hili la CV zao kuwekwa hadharani. Sioni kama kuna chochote cha kuficha ukishakuwa mwakilishi wa Wananchi toka jimboni kwako, labda utaficha ufisadi wako tu kama Mzee wa vijisenti...:)
 
Back
Top Bottom