johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Nilikuwa naangalia clip ya ziara ya makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kwenye kaburi la Balozi Kasanga Tumbo
Tundu Lisu alisema ni vema pakawepo na Kumbukizi la Balozi Kasanga Tumbo kila mwaka kutokana na mchango wake mkubwa kwa Taifa
Ndio nikaukumbuka pia mchango wa kamanda Chacha Wangwe na hata yule Mawazo wa Geita
Mlale Unono!
Tundu Lisu alisema ni vema pakawepo na Kumbukizi la Balozi Kasanga Tumbo kila mwaka kutokana na mchango wake mkubwa kwa Taifa
Ndio nikaukumbuka pia mchango wa kamanda Chacha Wangwe na hata yule Mawazo wa Geita
Mlale Unono!