Rostam Aziz ana pesa, ni tajiri namba 1 Bongo, tuache wivu

Jana Ulirudi Usiku

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
2,363
2,261
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.

Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?

Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.

Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
 
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.

Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?

Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.
Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Halafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu
 
Halafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu
Hao ndiyo matajiri wa kweli! Huyu jamaa ameni motivate sana hapa TZ. Ni icon kubwa. Pia ni humble sana. Yaani tajiri akuambie samahani hiki ndicho kidogo nilichojaliwa? Aisee tuna la kujifunza kabisa!
 
Kuna Aziz Ki halafu kuna Rostam Aziz hawa watu katika sekta zao hakuna anayewazidi.
9b9858a8ef734187bcc0acb368a6966c.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom