Rostam Aziz ana pesa, ni tajiri namba 1 Bongo, tuache wivu

Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.

Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?

Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.

Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Fuatilia nani anaongoza kwa kulipa kodi serikalini Ni mohamed Dewji kiasi 3.3Trillions kwa mwaka...Unafikiri yuko hapo Juu kwa bahati mbaya?Forbes hua hawabahatishi
 
Huyo si wanasema ni siiaiei? Utajiri wake uliongezeka alipowapiga ccm na kitu kizito baada ya kujimilikisha hisa za voda ambazo zilikuwa zao enzi zile ni mweka hazina.
Ccm huo ujasiri wa kujiingiza kwenye biashara na kununua hisa za kampuni za vodacom wanautoa wapi? Tena ikiwa wao ndio wenye serikali! Inawezekana vipi hii!?
 
Kamuulize Ruge Malila atakueleza vizuri.
Hakumjua Mungu huyo!!..... Ayubu alifilisika mpaka mke kamkimbia.....lkn bado alipeta! IBRAhimu aliacha utajiri kibao mpaka leo! upo! alikufa kifo kizuri sana!

Bakhresa ni tajiri mkuu,afya tele sababu anakula na maskini kunuka ! mtoaji! ana afya tele hafi leo wala kesho!
 
Hakumjua Mungu huyo!!..... Ayubu alifilisika mpaka mke kamkimbia.....lkn bado alipeta! IBRAhimu aliacha utajiri kibao mpaka leo! upo! alikufa kifo kizuri sana!

Bakhresa ni tajiri mkuu,afya tele sababu anakula na maskini kunuka ! mtoaji! ana afya tele hafi leo wala kesho!
Huna ulijuwalo unabwata tu, mashoga ndio matajili wakubwa dunia hii, wakati wacha Mungu ndio mafukara wa kutupwa.
 
Huna ulijuwalo unabwata tu, mashoga ndio matajili wakubwa dunia hii, wakati wacha Mungu ndio mafukara wa kutupwa.
Mcha Mungu naemjua!! anaemtegemea hawezi kuwa Maskini kamweeee!! kuna mungu wengi hao matajiri wa miungu wako ni matajiri kwa upande wenu!! kamwe usigenerlise na matajiri wa upande wa pili!

Shetani ana uwezo wa kukutajirisha maradufu lkn je unakili ya utambuzii?? wa kujua asili ya utajiri wako??... bila kusahau kuwa hata huyo Shetani ni mtoto wa Mungu!

Na kilichotoka kwa Mungu si cha mchezo!! mchezo!! bin mizaa kina uwezo wa kiungu!!yamkini pia unaweza kukiabudu ...... km si neema!........ km ni ivo!! je! kwanini muuza nyapu ya nyuma asiwe tajiri??

Ni kama hujui kitu vile!!! ila nitakusaidia bure ..... haya Matajiri Mashoga yalikuwepo, yapo, nayatakuwepo mpaka ukamlifu wa Dahari! no jipya!

hayajaanza leo! yalikuwepooo pamoja na wafuasi wake km weye ulivo! ni kuleee Sodoma na Gomora!! walichokipata athari zake zipo live mpaka leo/sasa hivi navoongea hapa!!

sasa je ni wapi huko??, ktk Dunia ya leo??! hili ni somo la siku nyengine endelea kunifuatiliya..... unasikia???
 
Huyu mwamba simjuwi kwa ndani
Ila hakunaga tajiri atakupa vitu vya burebure bila kumfanyia jambo fulani au yeye kufaidika na wewe

Ova
Cesna nyingine ziliuzwa kwa bei ya baiskeli kule kijijini kwetu,
Screenshot_20220924-205442_Facebook.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom