Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,964
- 32,365
Huyu Rose inabidi achukuliwe hatua za kinidhamu ikibidi afukuzwe
Pro-Chadema JF mnakuwa na mapenzi mabaya sana sasa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kosa gani? Madai yake ya msingi.
Huyu Rose inabidi achukuliwe hatua za kinidhamu ikibidi afukuzwe
Mkuu wewe ndiye jaji wa hii kesi?Yaani wana-CHADEMA mna mahaba ya ajabu kama sio ya kushangaza!! Yaani kwenu Dokta Slaa ni kama mungu ambae ni kufukuru kumsema kwa mabaya!!! Tuache ujuha....mapenzi yetu kwenye vyama vya siasa si busara hata kidogo kututia upofu na kujifanya hamnazo!! Jambo la msingi hapa ni kuangalia uhalali wa madai badala ya kuleta siasa!
1. Kweli Dr Slaa amezaa na Bi. Rose?
2. Kweli Dr Slaa amemkimbia Bi. Rose?
3. Kama Na. 1 above ni sahihi, je ni kweli Dr Slaa hatoi matunzo kwa familia yake?...
Katika kile kinachoonekana kupunguza kasi ya CDM na kiongozi wake machachari Dr Wilbroad Slaa Mbunge wa viti Maalum wa chama hicho Rose Kamili amekwenda mahakamani kumshtaki Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa kwa kile anachopinga uhusiano wa Dr Slaa na mke wake mtarajiwa Josephine Mushumbusi.Katika hati ya mashtaka aliyo nayo Rose analalamikia kutelekezwa yeye na watoto wake wawili baada ya Josephine kuingilia ndoa yao.Anaiomba mahakama itamke uhusiano wa Dr Slaa na Josephine ni batili.
Kuna tetesi zimezagaa Rose Kamili amenunuliwa ili kuvuruga mijakati ya CDM kuiandama serikali ya CCM
Source:Tanzania Daima
Bora CDM matatizo Kama hayo yanaonekana lakini Kama ni ccm mnamtuma jack zoka kumaliza hiyo issue kwenye ile misitu ya pandePro-Chadema JF mnakuwa na mapenzi mabaya sana sasa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kosa gani? Madai yake ya msingi.
Kabla hajajiunga na chadema niliwahi kusema humu kuwa Rose ana pepo la ngono, na pepo lake lilikuwa linamtuma kuzini na mapadre tu. Ni Rose huyu huyu aliyemvua joho Dr. Slaa. Rose leo ukimwuliza Padre Hayuma ni nani, Padre Corneli ni nani wote anawajua mpaka ndani. Kisa cha kuachana kilikuwa wazi mbona?
Wait a minute! Hao Emiliana na Linus wamezaliwa 1987? Yaani anataka matunzo ya a 25 yrs old man and a woman (manake sio girl tena)? Ama anadai arrears? Mmh, fishy!
Mahakama za kadhi?Dr Slaa, maliza mgogoro na familia yako kaa chini na wanawake wako mzungumze haya maswala ya ndoa yanaitaji hekima sana nikimuangalia Rose Kamili anaonekana muungwana sana mpaka imefikia kwenda mahakamani kuna kitu kafanyiwa kibaya kuhusu watoto wake...Dr Slaa usilete ubabe sio siasa hizo.
Bora CDM matatizo Kama hayo yanaonekana lakini Kama ni ccm mnamtuma jack zoka kumaliza hiyo issue kwenye ile misitu ya pande
Hapo kwenye red. Mkuu, ingekuwa ni hivyo, basi leo Mandela asingekuwa ameupata urais na hata Jacob Zuma. Mwanasiasa/ Kiongozi thabiti lazima akubali kupita kwenye tanuru la mashambulizi kutoka kwa wapinzani wake.....Ninaona kuwa inabidi Dr. Slaa atatue matatizo yake ya kifamilia kikamilifu kabla hajaendelea mbele zaidi na harakati za kisiasa kwani hayo ndiyo yatakayomwangusha hasa kwa vile aliingia maisha ya familia baada ya muda mrefu wa celibacy.
Unfortunately mambo kama haya ndiyo yanayoweza kutumika kuvuruga chama chao. .....
josephine ana mume wake halali na walifunga ndoa ya kikristo pale kijitonyama lutheran na mumewe ni mfanyakazi wabandari........Rose Kamili ni mke wa Slaa
Siku si nyingi ukweli utaujuwa na utajutia posti yako hii.
Dr hakumuoa huyo Kamili, na wanao wajuwa wametanabaisha kuwa hawakuwahi hata kukaa pamoja.
Sasa hii ndoa mnayoilazimisha hapa ni ipi?