Hivi Obama na J.K. si wako sawa enhee? Si uliambiwa na Late Sheikh Yahya, Kikwete ana rangi ya Obama?
Watoto wa kimarekani wanampenda Obama kwasababu hawaibii maliasili yao na ndio maana hali yao ni nzuri na wanafuraha; tofauti na watoto wa bongo wanaoshinda na njaa na kukalia matofali shuleni!!
So nice...