Kwako ukweli utakuwa upi,ukiona anaendesha au ..........??Sina account Instagram kiongozi,Achana na speculation ndugu Fanya kazi,Siwezi kutishika kwa Diomond kusema kwamba kanunua Rolls Royce ila iwe kweli na sio promo za kukikisha kokoro.
Unajitekenya afu unacheka mwenyewe kazi ipo kwl kwlSina hasira maana jamaa yenu anipunguzii kitu wala haniongezee kitu simdai wala hanidai nachopinga ni timu yenu kutuletea habari za uzushi humu JF wakati tupo watu wenye akili timamu ambao tunajua kabisa ni uongo wa kiwango cha lami,Kuna njia nyingi za kuboost KOKORO maana imebuma.
????????????????????????Mtu ananunua kitu ambacho hana
Na wewe una nini?Hamna chuki hata kidogo,Kuna watu wanapesa za kutosha,Diamond bado hajafikia kiwango cha kuwa tajiri,ana hela ya kula na kujenga sehemu ya kuweka ubavu na kununua vitoyo vya kutembelea na kuhonga senti tano kina tunda na mabeto.
Na ukisema ukweli tu utaonekana mpinzani, humpendi kipenzi chake,unachuki binafsi yaani watanzania hawapendi criticism hata kidogoNaona anataka kila mmoja awe anatoa sifa tu
Jibu muafakaKama lengo lako ulitaka tu Google hata hii habari itoe hapa ili tuka Google huko
Huwa linaendeshwa kwenye free ways aka flyovers tu. Barabara za Bongo halipiti labda za mwendo kasi. Kuliendesha barabara ya vumbi ni kuliAbuse! Ni made in Europe siyo China wala Japan.Mbona lakawaida Sana mkuu, naombeni sifa zake please!
Mhhh kwa hiyo hili Phantom la blue linalokatiza Mikocheni ni barabara ya Nebraska ?Huwa linaendeshwa kwenye free ways aka flyovers tu. Barabara za Bongo halipiti labda za mwendo kasi. Kuliendesha barabara ya vumbi ni kuliAbuse! Ni made in Europe siyo China wala Japan.
Mkuu masikini daima hana mawazo ya kijingaBig mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
Usiwaze ukazan kuna watu wanamilik mel humu. ***** zako hata baiskel hunaKiki ndiyo nini? Kama hauna millioni 900 kaa pembeni
Kiki Za Kingese Sana hizi.