Risk Assessment and Management: CHADEMA nayo Imuondoe Dr. W. Slaa!

SIJASEMA SEHEMU CDM INA GAMBA!! CDM haina tatizo lolote ila lisiasa kuna wakati huwa haueleweki unavyotaka ueleweke! nimetoa mifani ya salim na zuma, still you guys purposely mna -digress hoja!!

nwaonea huruma sijaona hoja , waislamu hawawatki BADALA YA KUWAAMBIA VIONGOZI WENU WAPIGANE NA HIYO HALI, MNABAKI KUTUMATUMA VIPOST VYA KISHABIKI..UJINGA HUO

HOJA ni kuwa CDM ifanye nini kujikwamua na hali hii kama mnaona is ok tuendelee!

Post yako imekaa kishabiki na ina propaganda ndani yake ndio maana watu wanaijibu kipropaganda. Kuhusu CDM ifanye nini jibu unalo kabisa nikuendelea kudai kile ambacho watanzania wanahitaji. Acha ushabiki wako
 
Kaka unaniogopa kiasi hicho mpaka unanianzishia thread?

Halafu ukijibiwa unafanya nini?

FYI sijasema sehemu yoyote kuhusu CCM kujivua gamba, wala sitaki kijua wana maana gani, sitaki kujua lolote kuhusu CCM, hujaweka hoja mkuu


Utachekwa bure na usilaumu MODS kuiondoa post hii,

Unauliza mtu usiyemfahamu kwa sura , watu watakujibuje, kama sio aibu ni nini?
 
[/SIZE]Penye red:

Hapo nakuunga mkono 100%. Hizi fikra za kuogopa kuungwa mkono kwa sababu uko dini fulani na hivyo wale wenye dini nyingine hawatakuunga mkono ni jambo la kipuuzi sana. kama ni hivyo -- basi wote tungekuwa dini moja. Nashangaa kwa nini thread hii imeddxumu muda mrefu bila kuondolewa na Mods -- inachochea udini.

Hata hivyo nimefurahishwa na kipondo alichokipata mwanzishaji wa thread kutoka kwa wachangiaji wengi.

Unasema kipondo wakati wenzako wengine tunacheka, maada iliyotolewa na yaliyojibiwa ni vitu viwili tofauti.. kuwa mwanaume wewe! usiogope kusema kitu kwa sababu utatukanwa

At least nimekuonyesha I am still standing! same waberoya
 
Najiuliza maswali mengi kuhusu huyu mtu maana post anazoanzisha hapa JF ni za kitoto, mfano anaposifia eti CCM sasa imejivua magamba nashindwa kuelewa ana maana gani,

Kwa kawaida Nyoka watu wanamwogopa kwa sababu ya Sumu na wala si magamba, kwanza wengi wetu humu hatufahamu kama nyoka huwa anavua magamba na ni wakati gani, kinachoshangaza zaidi ni kuamini eti Makamba senior akitoka na kuingia makamba junior eti CCM imefanya mabadiliko yatakayowafanya watanzania waiamini si kweli hata kidogo labda kina Waberoya ambao hatuwaelewi wako chama gani.

Nashangaa kuona Waberoya, TBC, Clause FM na baadhi ya magazeti ya mafisadi kuanza kushabikia, oh CCM imevua magamba sasa ni muda wananchi kurudisha imani, kumbe ni nyoka yule yule ambayewauma wengi na anaendelea kuuma wengi.

Kinachoshangaza ni baadhi ya Vyombo vya habari kuanza propaganda za kuwahadaa wananchi eti CCM imeweka sura mpya ni zipi? hii ya kina makamba junior huu ni usanii kwa waTZ.

Cha kushangaza zaidi ni kuona mtu anayeitwa Waberoya anasahau mwaka jana wakati wa kampeni Dk, Slaa ndiye aliyesema CCM ichukue hatua kwa kumfukuza Makamba. Leo miezi mitano baadaye anaondolewa anakuja na kusema CDM nayo imwondoe Dr. Slaa kwa sababu gani, Ukweli ni kwamba hakuna mtanzania wa kawaida mwenye tatizo na Dr. Slaa wawe waislamu, wakristo au wapagani ila Mafisadi wa nchi hii ndio wana chuki binafsi na huyu mzalendo na mchukia ufisadi.

Mimi nafikiri umefika muda wa akina Waberoya kuacha kushabikia mambo yenye maslahi ya mafisadi na kusimama kwa dhati na kuwatetea wananchi.

Ahsnteni.

Peoples Power

Sio nyoka wote wana sumu, nyoka ndimu ni mpole na friendly, kuna nyoka chatu aka nderema naye hana sumu anakula kwa term akishiba anatulia tuliii.
 
Nimependa, haya mapendekezo tuliyatoa sisi wengine kwa Chadema wakati ule lakini nani alikuwa na muda wa kusikiliza wakati wote walikuwa wanagombea? Nakuhakikishia kama kweli Chadema wangekuwa wanataka kufanya vizuri mwaka jana kwa makundi mbalimbali wangeweza kwani hakuna jambo ambalo linapendekezwa leo halikupendekezwa wakati ule, na believe me, sidhani kama bado wanamawazo ya kubadilika - angalau CCM wamejionesha wanataka kuvua gamba. Kinachonitisha kuhusu Chadema ni kuwa when push comes to shovel, wataangushwa tena kwa sababu hawaambiliki na hata ukiwawekea idea nzuri kiasi gani mapajani mwao wengine wanafikiri unafanya hivyo kwa sababu una some ulterior motives.

Binafsi, kusema ukweli nimetambua kuwa ni kupoteza muda sana kujaribu kutoa mawazo ya kuisaidia Chadema. Wengi hapa wamekuwa wakitoa mawazo kwa miaka mitano, mawazo ambayo sote tunajua kama yangefanyiwa kazi kabla ya uchaguzi Chadema ingekuwa mbali zaidi kuliko hivi ilivyo sasa. Lakini tatizo ni kuwa bado utaambiwa "tupatieni mawazo tutayafanyia kazi!".

Hivyo, hata wenye kutoa mawazo yanayotokana na mapenzi kwa Chadema wanakaa pembeni na kuangalia drama inavyochezwa. Wafanye nini kingine isipokuwa kushika tama na kusikitika?
Mkuu ww ni moja ya wapiganaji ninao amini ni kifo tu ndo kitaamua hatma yako kuitetea tanzania.kwa mara ya kwanza naona maneno ya kuelekea kukata tamaa! Nafikiri usitumie maneno hayo haswa kwa mtu anaebeba matumaini ya wengi.ww ni moja ya viongozi wa tz kwa mantiki ya ushawishi ulionao mkuu.Cdm ni sehemu tu ya njia kuelekea ukombozi wa kweli wa taifa letu hivyo tunawajibu wa kuendelea kupiga kelele hadi kieleweke na ww ni moja ya makamanda tunaowategemea.hakuna chama kinachoweza kuwa perfect hata kina democratic wanamatatizo mengi tu na hakuna chama chenye unafuu tz zaidi ya cdm.tuendelee kuwaunga mkono ili kiwe pengine moja ya silaha ya kuiondoa ccm madarakani.kumbuka unachukuliwa kama mpiganaji wa mbele kabisa sambamba na akina dr slaa.
 
watu wanakuwa bigots tuu. Baadhi ya viongozi wa kiislam wanamchukia Slaa simply because ni mkristo na aliwahi kuwa Padri. Na naamini kabisa hii sumu inamwaga na watu wachache wenye maslahi yao. Majority ya waislamu wanahangaika kujitafutia mkate wa kila siku na namna ya kusaidia familia zao just like any other Tanzanian.


hii itakuwa ni posti ya siku nzima. Umesema kitu ambacho chaweza kuelezewa kuwa ni candid observation. Imejaa ukweli mkubwa sana ambao umeelezwa kwa maneno machache. Thanks!!!
 
Kama waberoya anashambulia watu na wewe unamshambulia waberoya, tofauti yenu ni nini?
 
si lazima kila apendaye siasa au nchi yake awe mwanachama wa chama chochote... I believe ikija independent candidaes utaelewa hayo
 
Kama waberoya anashambulia watu na wewe unamshambulia waberoya, tofauti yenu ni nini?
very true mkuu

its a fact that some are angry with CCM, abut our problem is our failure to listen and understand
 
Ndugu Wabe, udini wa Dr Slaa umeanza lini,alipogombea urais? Ukiwa mkweli utagundua mambo mengi aliyoyafanya Dr S alipokuwa bungeni,hapo hamkuhoji udin wake. Kama si kumwogopa kwa ukali wa hoja na kukubalika kwake ktk kutetea maslahi ya umma,basi wewe na ccm mmeamua kumpakazia udini. Kaz anayoifanya sasa ni ile ile ya kufichua uozo. Binafsi namkubali Dk wa ukweli
 
Kijana kuna wakati huwanaona una mawazo endelevu sana katika threadna michango yako humu jamvini,lakini hoja yako ya leo ni busara ukakubali kuwa umechemsha tena sana! hoja yako ya udini ni hatari kuliko neno hatari lenyewe. Nyrere aliwaambia ubaguzi hauna mipaka, leo mnatumia DINI ili muendelee kuwa madarakani hata kama kazi hamuiwezi,mkishafanikiwa katika hili mtakuja na ubaguzi mwingine,na mwinginena mwingine na ninakuhakikishia at the end of the day mtaangamia wote na wewe pia hautabakia salama!!!
Think and Grow wise.
 
ulianza kwa hasira kaka, nimesema swala la risk assessment, sio lazma atoke mkuu kama chama kitakuwa hakina risk

siyo hasira bali ni forceful argument.. kwa sababu ulichokisema tungekipokea kiulaini kingetufanya tuonekane dhaifu wa kufikiri. Na hata sasa bado inaonekana kuwa kwa mtazamo wako Dr. Slaa ni "risk" kwa Chadema.. sivyo?
 
Japo kuwa wengi wanaona udini sio ishu ukweli ni kuwa, umeshaligawa taifa, na hakuna atakayepona.
nadhani muanzilishi na mchochea hoja ya udini ndie atakuwa victims wakwanza, ila si muda wtz watakuwa wameshajua ukweli
 
Too sad for you my dear! kama ukaribu wangu na Zito ndio unaofanya CDM kichukiwa na unakosa hoja ya kukiokoa kwa sababu ya uhusiano wangu na Zito sawa! umenifanya nicheke, umeenda mbali na hoja, I am not hero, I am not intellectual hayo umenipa wewe na ulinipa wewe!

JIBU HOJA, KATAA kuwa Slaa asiondoke na sema nini wafanye! kwa nini mko kwenye gari mnajua kabisa haliendi popote bali ni kupiga resi tu na makonda kusema linaenda na bado liko stendi?

Huyo Zito wala hafai kuwa katibu mkuu wa chadema, wala sijui na sina ukaribu naye..we are connected with Zitto kwa mawazo yake na itikadi zake na si vinginevyo

Haya waislamu hawakitaki CDM unasema nini?

Conclusion zako kwenye post mbili zimenifanya nikuweke kwenye -ignore list, umeandika kama una uhakika kabisa! my God! namna hiyo unaweza kumgomnaisha mama yako na baba yako, ukimuona mama anaongea na mzee fulani utatoa conclusiona na kumweleza baba! childish, watu wanashindana kwa hoja na si kusingiziana vitu ambavyo personally unajua si kweli na kama unaamini umekosea!

poor MTM!
@Waberoya....Mkuu hivi kumeshaitishwa kura ya maoni kuona ni waisilamu wangapi ukiacha mashehe na maimamu wasioipenda CHEDEMA? Au ambao wanasema CHEDEMA ni chama chenye udini? Mbona CUF ilifika hatua ikaambiwa ni chama cha kigaidi na aliyesema hayo ni IGP na Muisilamu mwenzao, je hayo yalikua kweli? CUF ina wabunge wangapi wa kuchaguliwa na kuteuliwa wasio waisilamu? Ukiacha Mtatiro nani kiongozi wa ngazi ya juu wa CUF ambaye si muisilamu? Mbona hamtumii nguvu hizo hizo kukishutumu CUF kwamba ni chama nyenye UDINI? je ni sahihi kuita chama cha CUF kuwa ni cha kiisilamu?
Tuwe wahalisia katika hili; sera za udini zinatumiwa na wanasiasa wenye ghiriba kuleta mgawanyiko. Kama maandamano ya CHADEMA kupiga mswaada wa katiba ni udini, je yule kiongozi wa kiisilamu kule Zanzibar alitewaongoza wenzake kuchana nakala za mswaada ni nini? naye katumwa na CHADEMA? Naye ni mdini? Tusiwe kama KIPOFU ALIYEFANIKIWA KUONA KWA DAKIKA MOJAM NA ALICHOONA KWA MUDA HUO NI PANYA TU, kwamba panya akawa ndio reference point yake. HIVYO KILA KITU KWAKE LAZIMA KIFANANISHWE NA PANYA ili kujua ni kizuri au kibaya kiasi gani.
Kama CHADEMA ni chama chenye udini unataka kusema kwamba kule Ilemela na Nyamagana na Arusha mjini hakuna waisilamu waliowapigia kura wabunge wa CHADEMA?
Mkuu hoja yako haina mashiko
 
Wabe weewe ni Mjinga mwili Mzima na umeshidwa kuwakilisha Hoja yako, ni vizuri ukasema nini kinachofanya Dr. Slaa aonekane mdini
PipoooS!!!!!!!

Chaupele mpenzi, hayo usemayo,
Kama ni maradhi, yapeleke kwa dakitari
Waniambia.......
 
Tusije tu kurudi na kucheza ngoma ya ccm,wao wamekuwa wakibadili viongozi wa nchi kwa misingi ya dini kwanza and then qualification baadae.Hivi haya mambo ya kuangalia dini nani aliyaanzisha kama si serikali ya ccm?Hakuna haja ya kuwafuatilizia ccm kwa kila wanachofanya.So far navyoelewa CDM ni maadui wa mafisadi.CCM imejivua magamba yake kwasababu ya ufisadi ulioigubika kwenye uongozi wa Taifa hili.CDM bado haina magamba ya kujivua.Hili la kufananisha dini na ufisadi sijui limetoka wapi.
Nina amini kabisa kuwa DR Slaa akifuata ushauri huu itakuwa amewakosea wananchi wa Tanzania.
 
Yaani Chadema wameshinikiza ccm wabadili viongozi, ccm wakachakachua kisha wakasema ni magamba wamevua, sasa wanataka Chadema ndo wabadili viongozi. Kwa sababu zipi? Udini wa mataahira?
 
Back
Top Bottom