JK
...as you did to Balali.......the same logic should be applied to your kiranja Mkuu
I really doubt
JK
...as you did to Balali.......the same logic should be applied to your kiranja Mkuu
Huu ndio msumari kwa Lowassa
Ibara ya 52 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inatamka wazi kuwa Waziri Mkuu ndiye mwenye madaraka ya juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hadi siku wa kazi na shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano na ndiye Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni. Kamati Teule haikufurahishwa hata kidogo na taarifa hizo zinazomgusa moja kwa moja Mhe. Waziri Mkuu katika kuipendelea Richmond Development Company LLC. Hata hivyo Kamati Teule imetimiza wajibu wake kwa uwazi na ukweli kama ilivyoagizwa na Bunge letu Tukufu. Kwa kuzingatia umuhimu wa nafasi aliyonayo Mhe. Waziri Mkuu katika uendeshaji wa shughuli za Serikali na uongozi wa nchi kwa ujumla, ni wajibu wake yeye mwenyewe kupima uzito wa matokeo ya uchunguzi huu na wajibu wake kikatiba ndani na nje ya Bunge. Vile vile ni wajibu wa Bunge ambalo linathibitisha uteuzi wake kwa mujibu wa Ibara ya 51 inayothibitisha uteuzi wake. Kuangalia ikiwa matokeo ya uchunguzi huu hayajaathiri hadhi na uzito wake ndani ya Bunge.
jamani nimeelemewa Dr. kweli amefanya kazi. Ndio maana sita alitaka kuondoka(kukimbia)
Gembe JK akiwaacha hao waliotajwa live bila kuuma maneno nitaungana na wewe barabarani tuandamane kama wanatuua wacha watuue tu haina maana kuishi katika aibu kama hii ya kuwa na serikali ya kifisadi juu mpaka chini.
Katika kipindi chote cha miongo mitatu na ushee niliyoishi humu duniani sijawahi kusikia serikali ikivuliwa nguo kama inavyotokea sasa. JK HATA KAMA EL,KARAMAGI,ROSTAM NA WENGINE WALIKUPA MABILIONI YA KAMPENI LAKINI KUMBUKA HAWAKUKUPA 80% YA KURA NI WATANZANIA NDIO WALIOKUCHAGUWA. THE BALL IS ON HAND USIJEKUTULAUMU 2010 AMBAYO HAIKO MBALI SASA.
whistling... tik tak tik tak
Kama kawaida JK ataunda kamati ya kumchunguza FISADI Lowasa, FISADI Karamagai FISADI Rostam na wenzake na atawapa miezi 6 (sita) kukamilisha kazi hiyo.
whistling... tik tak tik tak
PM awe Mwakyembe au Tyson!