Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,443
duhhh aliyesema husahau tuu kaniua kinyama comments kama hizo ningeweza ngekua nazipeleka kwenye jokes na udaku!!abt the ripoti...nadhani zitakuaj jumlishwa zoote then zitolewe mwisho wa kipindi chake then wa tz wapate ripoti kamili ya uongozi wake!!kwani ripoti za kawaida za wanafunzi si hutolewaga mwisho wa muhula?
ila lets be serious wajimini ni another wastage of resources hiyoo kamati zaundwa kwa mkwara mzitooo ila nothing is done after kamati hiyo wala even kuongelewa basi hiyo ripoti
Mtaalam,
Katika kipindi cha zaidi ya miaka 40 ya serikali yetu kumekuwa na tume nyingi sana zilizotoa mapendekezo mbalimbali lakini serikali ikayakalia na kuyatupilia mbali na wala watanzania hatukuhoji; mbaya zaidi tukaendelea kuiweka serikali hiyo hiyo madarakani miaka yote hiyo. Je kufanya hivyo ni nini kama siyo kusahau?