MWK, Ripoti hiyo inasemekana imebadilishwa sana na mengine kufutwa kabisa kwa kile SIRI KALI inachokiita 'usalama wa Taifa' wakati ukweli ni kwamba imebadilishwa kwa usalama wa mafisadi na waroho wa utajiri wa haraka haraka kupitia nyadhifa zao walizokabidhiwa na Watanzania. Huyo CAG alikaa na ripoti hiyo kwa wiki 10 tangu alipokabidhiwa eti alikuwa anaifanyia 'mchakato'.
Lazima tuwashinikize hawa wasanii mafisadi waweke hadharani hii ripoti maana kwa kufanya hivyo tunaweza kuhakiki toka kwa wakaguzi wa ripoti hiyo, Ernst & Young kama hiyo iliyotolewa ndio ripoti halali au imeshachezwa.
Kikwete is the biggest joke Tanzanians had in Ikulu, period.
Bigger than even the much underappreciated "Ruksa"
karibu mwafrika wa kike,
Suala la riporti aliyopewa muungwana ni zitto,zilitoka nakala chahce sana na kuzipata imekuwa vigumu,Cha Msingi tufanye utaratibu wa kupata Ripoti ya kwanza kabisa kabla ya hii ya Ernst and Young.
hahahaaaa nimefurahi kwanza kabsa dada weye kurudi sijui ulikua wapiii hadi nikahisi labda mafisadi walikupata nawewe if not kuku Chifuparaiz au kuku Balali maana hata tujui aliko huyu tapeli!!
nimependa kwanza ulivyomkumbusha huyu bishoo mtalii Jk kuwa bila watanzania asingekua na hako kakibarua kake na uwezo wa hata kutimiza ndoto zake za maisha ikiwemo kukanyaga nyasi za uwanja wowote wa timu yeyote kubwa ya mpira duniani!!
pili ni kweli hiyo heshima na umuhimu wa huyu fisadi kuitwa mheshimiw hata mie naiona hastahili kabsaaa ni bora nimwite mlinzi wangu geitini mheshimiwa kwa sababu so far ananilindia usalama wa maisha yangu au maid wangu anayenikaangizia mahanjumati kuliko huyu tapeli,mtalii,fisadi mpenda cheka cheka ka mtu wa nguvu za giza ( actually he is among them)...
sasa mwisho watuwekee hiyo report nje na waziii ili na sie tusaidie kutoa maoni yetu as kama mabosi wake!!ila pia napenda kuwaambia wale woote wenye original copies za hiyo report watuandalie as i really know how this gov. of us stupid it is as if haina washauri wasomi ndani yake!!!watatoa report edited ambayo ina uongo mwiiiingi ili kuficha ukweli alafu watajitahidi wanyamazisha wahusika wooote lakini wajue tuu therez a day ukweli utajulikana tuu kwa watanzania
always siku za mwizi ni arobaini
Ninasubiri apology kubwa sana toka kwa viongozi wa dini ambao walisema kuwa Kikwete ameteuliwa na Mungu kuongoza Tanzania. Sijui ni mungu gani walikuwa wakiongelea hawa!