Wapumbavu kabisa wanaodhani Samia hahusiki na huu ufisadi. Samia alikuwa makamu wa rais na alikuwa anashiriki na kuunga mkono kwenye kila kilichotokea.Tutaachia special audit ya manunuzi ya ndege ili makende ya chato yabaki wazi
Ndo serkali ya bibiyenu inajificha kwenye koti la Magufuli! Eti 97.5% ni hati safi! Upigaji saizi unafunikwa ili aonekane mama anafanya kazi! Ila hana kitu! Mfano hata ACT WAZALENDO naona wanachambua kwa kuegemea awamu ya tano! Ila mda wa kumsingizia kila kitu utaisha na ndo mtakapokaa uchi!
Hii iliitwa "serikali ya magufuli" sio ya Samia, kwanza walimtenga kwenye maamuziWapumbavu kabisa wanaodhani Samia hahusiki na huu ufisadi. Samia alikuwa makamu wa rais na alikuwa anashiriki na kuunga mkono kwenye kila kilichotokea.
umeshaisha, Samia kasema tumerudi uchumi wa chini na tamisemi wamepiga sh mil 700 kwa kununua pikipiki 68 baada ya 268. Hivi pikipiki nazo zinakujaga kwa awamu kweli? eti tumepokea pikipiki 68 bado 200 ila hela tumeshalipa, zimekua ndege hizi? Wendawazimu huuu. Hii nchi bila vita hatuendi popote. Ikianza Civil War ninajua nitakuwa upande gani.Ndo serkali ya bibiyenu inajificha kwenye koti la Magufuli! Eti 97.5% ni hati safi! Upigaji saizi unafunikwa ili aonekane mama anafanya kazi! Ila hana kitu! Mfano hata ACT WAZALENDO naona wanachambua kwa kuegemea awamu ya tano! Ila mda wa kumsingizia kila kitu utaisha na ndo mtakapokaa uchi!
Hivi daladala likishindwa kupeleka hesabu kwa bosi.Unawahusu watawala wa sasa pia. Na kikubwa zaidi unamhusu Magufuli pia.
Typing error, serikali imesahihisha, ni pikipiki 268, nyie ndio mwalimu anawaambia darasani, "sema A" na wewe unamjibu "sema A"umeshaisha, Samia kasema tumerudi uchumi wa chini na tamisemi wamepiga sh mil 700 kwa kununua pikipiki 68 baada ya 268. Hivi pikipiki nazo zinakujaga kwa awamu kweli? eti tumepokea pikipiki 68 bado 200 ila hela tumeshalipa, zimekua ndege hizi? Wendawazimu huuu. Hii nchi bila vita hatuendi popote. Ikianza Civil War ninajua nitakuwa upande gani.