kilambalambila
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 9,290
- 8,611
Hivi nyie mnaoweka ringtone za mahaba mahaba huwa mnafikiria nini? Yaan simu ikiita kama mko ofisin au sehem nyingine ya heshima hadi unaona aibu.
Kuna kijana hapa ofisin simu ina ringtone utadhan ni recorded wakati wa tendo la ndoa!
Jaman jifunze kuweka ringtones za heshima hasa mnapokuwa maofisini.
Kuna wengne wanaweka hiphop na nyimbo nyingne za ajabu simu ikiita utadhani redio imewashwa hasa zile za mchina zenye spika kubwa
Kuna kijana hapa ofisin simu ina ringtone utadhan ni recorded wakati wa tendo la ndoa!
Jaman jifunze kuweka ringtones za heshima hasa mnapokuwa maofisini.
Kuna wengne wanaweka hiphop na nyimbo nyingne za ajabu simu ikiita utadhani redio imewashwa hasa zile za mchina zenye spika kubwa