Hicho chako wala hakilipi, kimekakamaa sana. Kitakuwa kinachoma choma hicho.
.........Hapa Rihanna kapata mwanaume , kifua chake tu ni cha mwanaume haswa!![/Q
That guy is a baseball player, pamoja na mazoezi pengine kuna vitu vingine vinasaidia kutanua hicho kifua, si mnawajua tena wacheza baseball!.
Unfortunately mara nyingi ni hivyo!..akiwa miraba minne lakini mashine mdebwedo inakuwaje?...
hehehehehehe!Unfortunately mara nyingi ni hivyo!
watalast vipi na wakati nyie ma-SHE mnasema kifua ndio mnapenda??Damm! kifua hicho nimekikubali, will they last kweli ama ni bypass tu.
Unfortunately mara nyingi ni hivyo!
Tunashukuru Mungu tumerudi salama.Ha ha ha safi kabisa, wazima nyie? Mmerudi kutoka mapunzikoni Comoro?
GP unaenda wapi na hiyo chupa?watalast vipi na wakati nyie ma-SHE mnasema kifua ndio mnapenda??
inawezekana nae ana akili fupi kamaindi kifua, so akitokea mwenye kifua kipana zaidi kama cha mpwazzz Geoff lazima abebe mzigo, lols women are so commercial
hehehe,watalast vipi na wakati nyie ma-SHE mnasema kifua ndio mnapenda??
inawezekana nae ana akili fupi kamaindi kifua, so akitokea mwenye kifua kipana zaidi kama cha mpwazzz Geoff lazima abebe mzigo, lols women are so commercial
GP unaenda wapi na hiyo chupa?
Damm! kifua hicho nimekikubali, will they last kweli ama ni bypass tu.
hehehe,
jojipoji taratibu,
wameanza kuni piemu hapa wanadhani unalolihubiri ni kweli kumbe ni mambo ya KEYBOARD
--EE MUNGU BABA WA REHEMA ZOTE,nakuomba unisaidie nifike 13/02/2010.IMANI YANGU NI NDOGO SANA BABA,NAOMBA UNIBEBE KWA IMANI YAKO!
--SHETANI TOKAAAAA!..........
....hehehe!SIRI YA JESHI!...TETETETE NANI KAKU pm binamu ...angalia hiyo tarehe kusiwepo pingamizi kale ka mama lishe ka mtaani kwenu huwa hakaaminiki kale
It is very true.jamaa anatafuta password ya u-celebrity akiipata tu utasikilizia