fugees
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 2,868
- 882
Leo nipo Tunduma nimekuta vijana na wazee madereva wanavyo lalamika kuhusu hii kampuni, wanasema inawapiga bao na kuwafanyia fitina kubwa sana.
Jamaa mmoja ambaye amenipa mpaka lift anasema dogo riziwani anatutesa sana barabarani na anatunyanyasa sana, anasema kampuni hii haijawahi hata kusimamishwa na polisi si kwa sababu eti haina makosa bali wanaiogopa jina na hata ikipakia mihadarati hayupo wa kukagua gari hilo.
WADAU SWALI KWANGU KWELI HII KAMPUNI NI YA DOGO HUYU?
Jamaa mmoja ambaye amenipa mpaka lift anasema dogo riziwani anatutesa sana barabarani na anatunyanyasa sana, anasema kampuni hii haijawahi hata kusimamishwa na polisi si kwa sababu eti haina makosa bali wanaiogopa jina na hata ikipakia mihadarati hayupo wa kukagua gari hilo.
WADAU SWALI KWANGU KWELI HII KAMPUNI NI YA DOGO HUYU?