Revealed: Tanzanian Thieves have Sh315bn in Swiss Banks!

Sidhani kama jina la fisadi Mkapa litakosa humu. Hii list ni bora waitangaze hadharani kwa kila nchi husika. Kwa nchi yetu list hii ikikabidhiwa kwa Takukuru DHAIFU basi hatutasikia lolote lile ndiyo itakuwa imekwenda na maji. Siku hizi nasikia mafisadi wa Serikali za Afrika hawapeleki tena pesa zao za wizi katika Banks za Uswisi bali wanapeleka South Africa.
 
Kwa mtindo huu vita ya ufisadi kweli ni ngumu mno! Mashaka yangu ni kama kweli PCCB wanaweza kuwakamata wahusika kama anavyosema mh. Hosea.

Hosea wa PCCB anaiandikia hiyo central bank ya uswisi ili aweze kuwasafisha mafisadi kama alivyofanya kwa Richmond na Chenge.
 
I cry for my people...!!ni laana kwa namna yoyote kumtusi mzazi...!haina ubishi viongozi wa taifa hili km Nyerere ,Karume etc ni mfano wa wazazi wa taifa hili...Mungu akusamehe

Mzazi wangu hajawahi kupoteza watu kwa kuwa tu wanatofautiana nae kimawazo. Mzazi wangu hajawahi kuamrisha watu wakakamate watoto wa kike wa watu wawaingilie kwa nguvu wakitaka wasitake. Hapana, hao si wazazi wangu hata chembe, labda wako wewe.
 
This is interesting. Hii namba 315 ndiyo ilikuwa namba yangu nilipokuwa airforce. Kule wanatumia namba,sio majina; 315 ready for take off,315,coming in to land.
 
Naona huwa hufatilii habari za yanayojiri zaidi ya humu JF. Pitia kidogo hizi habari za zamani ujionee kinachoongelewa:

http://www.corruptiontracker.or.tz/...ls&catid=18:current-issues-&Itemid=51&lang=en

http://touch.dailynews.co.tz/index.php/dailynews/3597-the-war-on-graft-must-go-on

Sina uhakika kama ukisoma huwa unaelewa. Hebu rudi tena usome hizo link zako halafu uniambie nani yuko anafuatilia! Halafu uniambie kama wanaongelea specifically hizi pesa zilizoko bank uswiss.
 
hiyo list ikipatikana wengi wetu hapa tutapata mishtuko mana nina hakika watakuwepo hata tusiowatarajia!
 
Hiyo pesa ikirudi Tanzania ielekezwe moja kwa moja kwenye vipaumbele vifuatavyo :
a) Kuongeza mishahara ya madaktari na walimu.
b) kuboresha shule na hospitali za serikali (Umma).

Chenji kidogo itakayobaki wampeleke Komba India akafanyiwe Gastric bypass surgery...hili ni wazo binafsi tu.

kaka hakuna hela itakayorudi kama unavyodhani...nchi hii hadi huyo rais kawekwa madarakani kwa hela na mbinu chafu...kimsingi hakuna wa kumfunga mwenzake kengele maana wote hawafai
 
Udhaifu wa kilongola wetu wa taifa utakoma tu akifanya maamuzi magumu na ya msingi kulikomboa taifa na matatizo mengi mfano:-

1. Kukamata wezi wakubwa hata kwa aslimia 20 tu. (wezi wa EPA, Meremeta, Rada,.....) na kusitisha walau mikataba tata ya kitapeli inayolitafuna taifa mfano IPTL.

2. Kuboresha maisha ya watanzania kwa maana ya AFYA na ELIMU bora (hizi zote zinahujumiwa na rushwa na mafisadi- Hosea halioni hili)

3. Kukemea, kusitisha na kutokomeza ubaguzi wa kidini unaoendelea kusambaa inchi inzima. Yupo amekaa kimya sijui anangoja watu waanze kuchinjana ndipo achukue hatua sielewi. (samaki hukunjwa akiwa angali mbichi hizi chuki zitafikia level isiyo dhibitika) Itafikia hatuwa watanzania kupeana huduma kwa Rushwa ya imani. (huyu dini gani? mwenzetu - mpe huduma au sio wa kwetu mwambie abadili dini iliapate huduma anayoihitaji, tukifika hapo Mtu kama Hosea na PCCB yake hana nafasi tena bali kuchinjana)

4. Asimame kidete taifa la tanzania liwe na dira ya taifa kwa manufaa ya watanzania wa leo, kesho na vizazi vijavyo. Dira ambayo ndani yake moja ya vipengele vyake iwe ni kudhibiti Rushwa kwa adhabu kali, mfano ikithibitika kifungo cha miaka isiopungua 30 itolewe na kufilisi mali zote za aliethibitika na rushwa, mbona wachina wanaweza sisi tunashindwa kwa nini?????

TUNAIMBA NA KUIMBA NAKUIMBA, SIKU ZOTE TUNAISHIA KUFICHA MAMBO KWA KUUNDA TUME ZA KULINDANA, UDANGANYIFU NA UCHAFUZI WA MAPATO YA TAIFA.

PCCB = DPP = walinzi wa serikali dhaifu ya ccm siku zote na kwa wakati wote (kwanini vingunge hawakamatwi wala kufungwa?????
 
Mkuu wadau watacoment nini hii habari inatisha!!!!! Sasa huyo mkuu wa PCCB si atafute majina ya hao corrupt victims, lakini ni wa kuhurumia maanake hata akipata majina hao ni untouchable!! PM alisema ukiwashika mafisadi nchi itayumba, kwani alikuwa na maana gani??? Hao ndio maghambas bwn, bora tuwekewe majina tujue wezi wetu ili huko baadae waweze kushughulikiwa na new regime not CCM kama Misri!!!!

Hapo mawaziri waliotemwa hawakosi kuwepo kwenye list. Inakuwaje jamaa wanakaa na pesa zetu wanazizungusha kwenye biz zao baada ya kupata faida ndiyo wanajidai kutoa taarifa? Wakirudisha tudai na riba.
 
Hapo mawaziri waliotemwa hawakosi kuwepo kwenye list. Inakuwaje jamaa wanakaa na pesa zetu wanazizungusha kwenye biz zao baada ya kupata faida ndiyo wanajidai kutoa taarifa? Wakirudisha tudai na riba.
Kweli kabisa. Uswisi wanasheria ya kutaifisha mali za viongozi wa siasa zilizopatikana kwa wizi na kuzirudisha kwenye nchi husika. THE SWISS RESTITUTION OF ILLEGAL ASSETS ACT
 
Kwa mtindo huu vita ya ufisadi kweli ni ngumu mno! Mashaka yangu ni kama kweli PCCB wanaweza kuwakamata wahusika kama anavyosema mh. Hosea.

Ni lini ulishaona mtu akathubutu kumkamata aliyempa kazi (Bosi wake)?
 
Sina uhakika kama ukisoma huwa unaelewa. Hebu rudi tena usome hizo link zako halafu uniambie nani yuko anafuatilia! Halafu uniambie kama wanaongelea specifically hizi pesa zilizoko bank uswiss.

Tatizo kubwa la Watanzania ni kutokuelewa mnaposoma. Wewe mpaka uone neno "Swiss" ndio uelewe? hizo articles nilizokuwekea moja hiyo ya "daily news" inasema wazi kabisa "help developing countries in Africa to recover their assets that have been corruptly taken from them and stashed in the banks abroad".

Na nyingine inakuelezea chombo kipya ambacho hakijawahi kuwepo kabla ya wakati wa Kikwete cha kupambana na hela chafu na imesema hivi: By last year, there were five money laundering investigations that were ongoing at the FIU.

Nini hapo kina kupa shida kuelewa?
 
Tatizo kubwa la Watanzania ni kutokuelewa mnaposoma. Wewe mpaka uone neno "Swiss" ndio uelewe? hizo articles nilizokuwekea moja hiyo ya "daily news" inasema wazi kabisa "help developing countries in Africa to recover their assets that have been corruptly taken from them and stashed in the banks abroad".

Na nyingine inakuelezea chombo kipya ambacho hakijawahi kuwepo kabla ya wakati wa Kikwete cha kupambana na hela chafu na imesema hivi: By last year, there were five money laundering investigations that were ongoing at the FIU.

Nini hapo kina kupa shida kuelewa?

Mkuu Zomba
katika hizo tano, tumekamilisha walau hata moja au haileweki? maana from last year somehow is a long period of time.
 
NEWS

stash.jpg

A report says two-thirds of the money originates from multinational companies evading taxes in the region

By MWAURA KIMANI


Posted Saturday, June 23 2012 at 13:38


Residents of the East Africa Community have more money stashed away in Swiss banks than those from any other region in Africa, a new report reveals. The Swiss National Bank (SNB), the central bank of Switzerland, in its latest report on the country's banking sector states that the EAC countries of Burundi, Rwanda, Uganda, Tanzania and Kenya have at least $1.3 billion in the country.


Kenya tops the list with $857 million followed by Tanzania ($178 million), Uganda ($159 million), Rwanda ($29.7 million and Burundi ($16.7 million).

While the cash-detailed by SNB as foreign liabilities held by Swiss banks in 2011-is not necessarily listed as dirty money, EAC countries have been grappling with capital flight, with individuals said to have set up companies and accounts in tax havens. Kenya's Finance Minister Robinson Githae hinted the government would investigate the ownership of these accounts. "Treasury has no idea of the source, the owners and how the money ended up there," Mr Githae told The EastAfrican.

"Although some could belong to investors doing businesses in foreign currencies, I don't understand why someone would put their money outside when it is allowed to operate dollar accounts in Kenya."

Anti-graft activists say huge unreported flows of money are leaving the EAC countries every year, ending up in rich countries or tax havens, denying nations desperately needed tax revenues. They argue that tracing, freezing, confiscation and repatriation of stolen assets is a cumbersome process because of differences in legal systems, the high costs of co-ordinating investigations, inadequate international co-operation and bank secrecy laws.

"Most of these funds are dirty money and the accounts have been growing with time. It is a big task for governments to find out the sources of these funds and the owners," said John Githongo, a Nairobi based anti-corruption campaigner. "The incidence of money being stashed abroad usually rises around elections, so it is expected Kenya's share will grow in the remaining part of the year," said Mr Githongo, a former ethics and governance permanent secretary.

Contrary to popular belief, only a small share, three to five per cent, of illicit capital flight stems from corruption, a 2011 report dubbedBringing The Billions Back said.

"Instead, almost two-thirds originates from multinational companies evading tax, and one-third is a result of criminal activities such as trade in humans, drugs and weapons," said the report authored by Dr Attiya Waris, a lecturer at the School of Law at the University of Nairobi and Kristina Fröberg, a political scientist at Forum Syd in Sweden.

"Illicit capital flight has severe consequences for developing countries-it cancels investment, undermines trade, hurts competition, worsens income gaps and drains hard-currency reserves," says the report.

Its authors estimate that in 2008, Tanzania topped the list of illicit capital flight with over $5.1 billion followed by Uganda ($4.8 billion), Rwanda ($3.3 billion), Kenya ($2.6 billion) and Burundi ($2 billion). According to a report from Global Financial Integrity, the average of illicit outflows per year from Kenya during 2002-2006 is estimated at $686 million. In Tanzania, the report estimates revenue lost through a combination of tax exemptions and illicit trade involving foreign countries and multinationals amounts to over $1.2 billion a year.

The SNB figures do not include money that individuals may hold in other's names or that is managed by wealth funds. Global pressure has been rising on Switzerland to ask its banks to share information about their clients with foreign governments. It is suspected that foreigners holding illicit wealth in Swiss banks may be moving their funds for fear of being exposed due to growing scrutiny.

Although Swiss banks' policy of secrecy and customer protection allows for such money to be paid in, Switzerland has adopted what is arguably the world's toughest law for repatriating the ill-gotten gains of corrupt politicians to the people of those countries, allowing the country to return potentially corrupt assets more easily to where they belong.

The news about the money stashed in foreign accounts comes as the EAC countries battle budget deficits that have seen them go on a borrowing spree. Kenya's public debt currently stands at 48.6 per cent of GDP, having marginally declined from the 48.8 per cent recorded in 2011.

Uganda plans to borrow at least Ush2.6 trillion ($1 billion) this year, while Rwanda's total external debt (including guaranteed debt) is projected to rise to $1.3 billion in 2012 (19.1 per cent of GDP).

As at March 2012, Tanzania's debt stood at Tsh20 trillion ($12.8 billion).

Most of the billions stashed away in foreign accounts by influential businessmen and powerful politicians are suspected to be proceeds of defence and security-related contracts and payments of fake debts.

Stephen Kaboyo managing director, Alpha Capital Partners said the sums of money mentioned in that report are unlikely to have originated from Uganda. "It is extremely difficult to wire large amounts of money to foreign accounts because of increased scrutiny by local banks.

Therefore, the bulk of that money could have been generated by payments from ‘dirty deals' done between locals and foreign partners in overseas locations," he said.




 
Jamani tunaweza kujitosheleza kwa Bajeti yetu bila kukopa; Ukiangalia hii report inasema kuwa

- Tax exemptions
- Illicit trade


Hizi zote zinawahusu foreign countries and multinational corporations
kila mwaka tunapoteza $ 1.2 Billion

Mwaka 2008 - Kwa Biashara na Mikataba ya Kishenzi, wajanja wa Kitanzania waliweka pesa Swiss bank $ 5.1 Billion

Sasa hapo ni nini? Sio Uzembe wa Viongozi wetu? Mbunge wa Ubungo alisema Kweli...

Hizo ni Pesa zilizoweka Swiss Bank na Wafanya Biashara Wakubwa Dar na Wanasiasa wa CCM Dar; kutokana na Mikataba Uchwara

Kama Vile EPA, Mikataba ya RADA, Mikataba ya ULINZI, Na JESHI na MADINI wanaacha
nchi kuwa na Deni la $ 12.0 Billion wakati

Bila huo Uongo wao tusingekuwa na Deni hata Kidogo; sasa kwanini CHADEMA wasiongelee hili kwa Wananchi?

Watu walikuwa wanasema Nyerere Mbaya lakini hakufika Swiss Bank na kujilimbikizia Mali... Mnawapenda hawa wa Sasa Sababu

Wanawanyonya?
 
Mkuu wadau watacoment nini hii habari inatisha!!!!! Sasa huyo mkuu wa PCCB si atafute majina ya hao corrupt victims, lakini ni wa kuhurumia maanake hata akipata majina hao ni untouchable!! PM alisema ukiwashika mafisadi nchi itayumba, kwani alikuwa na maana gani??? Hao ndio maghambas bwn, bora tuwekewe majina tujue wezi wetu ili huko baadae waweze kushughulikiwa na new regime not CCM kama Misri!!!!


Atasema tu lakini usishangae na yeye jina lake lipo! another comedy:lie::lie::usa:
 
This is interesting. Hii namba 315 ndiyo ilikuwa namba yangu nilipokuwa airforce. Kule wanatumia namba,sio majina; 315 ready for take off,315,coming in to land.

unamaanisha nini hapa?au wewe nae ni mmoja wa hawa wezi?wewe kuwa airforce kwako kutatusaidia nini sisi masikini wa TANZANIA?Jaribu Tena baadae!!!!!!!!!!!!!!
 
hiyo report yenye majina ya wenye akaunti huko waweke hiyo report kwenye vyombo vya habari ili kila mtu aone
 
In Africa, hidden money determines whether Millions of children live or die, it means that each dollar did not reach its intended destination in healthcare, education, food, public services, while in the west, hidden money does little damage to the whole economy. IF Swiss bank has released this report means something is not legit with that money in their accounts. In the national interest of the country, PCCB has to get that report and disclose the names of individuals, if PCCB fails to their job or tries to protect the individuals (like in the past, with their handling of Chenge), then its up to the people to demand disclosure of names. Keep in mind, the funds left some bank, there has to be origin bank and that bank is responsible if the bank transferred funds to individual accounts, and where did those funds come from?
IF PCCB says its all good and funds are coming back, thats not an answer. The people have to know the truth about this matter. They have to know WHO, WHAT and HOW.

In 2002, report on money laundering in SADC region revealed the TZAG chambers (Chenge), Mof, BoT and even the police as "conspirators" in an ongoing matter "a dayliterobbery" at the High Court. Money laundering in Tanzania going on for a while is not something new.
Chenge has dismissed million found in his offshore account as 'peanuts', imagine how many MILLIONS are needed to refer to them as peanuts. He had 28MillionSterlingPounds in local bank and no one investigated that matter. Today, in Parliament he is Finance?Economics Chair. Financial and economic future of Tanzania in the hands of an individual who has not only COST this nation LOSSES but dismisses millions of dollars as peanuts?
 
Back
Top Bottom