Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Jamani nasema katiba mpya ndio mkombozi wa TZ, inatakiwa kuandaliwa faster maana nchi inazidi kufyekwa itabaki jangwa tunavyozidi kuchelewa!!!soma vizuri hapo juu watu tayari wameshapiga dili kwenye mafuta na gas