Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
wakuu!baba yangu mpendwa Mzee Chizenga amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu!1933-2012!upumzike kwa amani baba yangu!
wakuu!baba yangu mpendwa Mzee Chizenga amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu!1933-2012!upumzike kwa amani baba yangu!
The man had a Lion's heart!fighting against death for years after suffered stroke almost a decade ago!R.I.P Great Man!
Pole MC Tilly Mungu awape faraja wote. Rohoi ya marehemu ipate rehema kwa mungu apumzike kwa amani. Amina