Haji Mashaka Nassoro
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 381
- 835
Mashaka Matongo (Abiola) makazi yake ilikuwa Yombo kwa Abiola amefariki leo mchana katika hospitali ya Temeke jijini Dar-es-salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Baadhi humu wanamfahamu aliwahi kuigiza kwa muda mfupi katika kikundi cha Kaole mwishoni mwa miaka ya 1990 huku akijishughulisha na biashara ya magazeti pamoja na akina Eric Shigongo mbunge.
Baadhi humu wanamfahamu aliwahi kuigiza kwa muda mfupi katika kikundi cha Kaole mwishoni mwa miaka ya 1990 huku akijishughulisha na biashara ya magazeti pamoja na akina Eric Shigongo mbunge.