TANZIA Mashaka Matongo a.k.a. Abiola afariki dunia

Haji Mashaka Nassoro

JF-Expert Member
Jan 10, 2021
381
835
Mashaka Matongo (Abiola) makazi yake ilikuwa Yombo kwa Abiola amefariki leo mchana katika hospitali ya Temeke jijini Dar-es-salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Baadhi humu wanamfahamu aliwahi kuigiza kwa muda mfupi katika kikundi cha Kaole mwishoni mwa miaka ya 1990 huku akijishughulisha na biashara ya magazeti pamoja na akina Eric Shigongo mbunge.
 
Mashaka Matongo (Abiola) makazi yake ilikua Yombo kwa Abiola amefarii leo mchana katika hospitali ya Temeke jijini Dar-es-salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Baadhi humu wanamfahamu aliwahi kuigiza kwa muda mfupi katika kikundi cha Kaole mwishoni mwa miaka ya 1990 huku akijishughulisha na biashara ya magazeti pamoja na akina Eric Shigongo mbunge.
Bila picha umbea
 
Duuh mwenye kapicha kake tafaadhali kitambo..
Abiola.jpg
 
Back
Top Bottom