Renew your Azsky G2, G1, G1+, G6, Qsat series and other IKS/SKS decoders/Dongles here

Kwa wale ambao mnatumia IKS/SKS decoders mbali mbali na kwa sasa haifanyi kazi tena wakati ya mwenzako inafanya kazi basi ujue hicho kifaa chako kime-expire hivo basi kama ulikuwa umekitupa Uvunguni mwa kitanda kichomoe na mtfute njunwa wamavoko akuuzie IKS account.

where by;
IKS=Internet key sharing
SKS=Sattelite key sharing

Na kama wewe ulinunua Azsky G6 ambayo imeingia sokoni mwez August 2013 na kipindi inatengenezwa iliwekewa account ya miezi sita basi chukua contacts zangu mapema sana maana muda wake wa kuwekea account umetimia na itafanyika Pindi tu utakapoona imeacha kufanya kazi wakati ya mwenzako inafanya kazi usiogope wala kuitupa uvunguni mwa kitanda bali ujue ndo mda umefika wa kunitafuta kurenew account yako
.

Qsat series zote hamna ambayo ime-expire wala hamna inayokaribia expire sababu inakuja na account ya mwaka mzima

Vitu utakavyotakiwa kuzingatia ni Hivi

  • Kwanza kabisa hakikisha unajua serial number ya Dongle/decoder yako maana kuna decoder iliuziwekee account lazima ujue serial number na sio aina tu ya kifaa,kwenye picha hapa chini naonesha mifano ya serial number(S/N) na inabidi kuangalia hizo alama za kubwa kuliko au ndogo kuliko kujua serial number ya decoder yako inafall under which category

    u02q.png


  • Pia utaitaji Desktop/laptop iliyo connected kwenye Internet ilikuweza ku-upload account ktk kifaa chako,laptop inaitajika sababu hizi IKS account zinakuwa loaded kwa kutumia software ambayo ntaionesha hapa kwenye picha na lazima uwe umechomeka RS-232 cable ktk Desktop yako,Desktop ni nzuri zaidi kwa hili maana ina meno ya hii cable RS-232 iliyokuja na dongle nyingi kipindi cha kununuliwa

    s3da.png

  • Ni muhimu kuzingatia kuwa usiload account wakati haija-expire ile iliyokuja na kifaa ni muhimu kuwauliza wenzako kama wanapata connection na vifaa vyao,iwapo wanapata basi ujue chako kimeisha mda pia indicaion kujua kama kuna tatizo na account yako hakikisha Line umeweka vizuri afu angalia rangi za kifaa chako iwapo ziko nyekundu ujue ni indication mojawapo kuwa account yake ime-expire
  • Sokoni ziko account za miezi mitatu na sita lkn mm ntakuuzieni account za miezi sita tu kwa bei ya 40,000/- ,ukilipa hii hela utaendelea kuburudisha familia yako na TV channels kede kede mpaka hiyo miezi sita iishe tena
  • Kama unataka kujifunza ku-load hizi account kwa watu wengine ntakufundisha utanipigia tuongee biashara


Contacts

  • Tigo pesa no +255657209956
  • Skype account; victornjunwa1



N:B; KAMA HAUJUI LUGHA ILIYTUMIKA HAPA AU HAUKUELEWA HIVI VIFAA VINATUMIKA KUFANYA NN USISITE KUULIZA WAWEZA KUNITUMIA PM NTAKUPA MAELEZO KWA KINA


Niaje means WA jamvini mm ninataka ya azsky g6 VP unayo?
 
Naona kama expiry date bdo since jana ilianza kuonyesha tena baada kupotea kwa siku kama tani hivi..hebu nifahamishe mkuu kuangalia expiry date kwa azsky tunafanyaje?

Naandaa maelezokuna S/w wametoa unaweza kujua expiry date
Lkn ni ya kwenye pc na lazima uwe ume connect Rs 232 kutoka desktop kuja AZSKY yako
 
Naandaa maelezokuna S/w wametoa unaweza kujua expiry date

Lkn ni ya kwenye pc na lazima uwe ume connect Rs 232 kutoka desktop kuja AZSKY yako
duhh hapo ndipo changamoto inapoanza xoo RS232 cable ni ya kununua cyo maana hyo mm cna.nway nitashukuru kama ukiweza nipa maelezo kwa kina nami nihangaika na kukujua hali ilivyo then tutajua cha kufanya kama muda wa kingamuzi umekwisha au unakaribia kuisha.kwa mara ingine nashukuru kwa maelezo ako mkuu
 
duhh hapo ndipo changamoto inapoanza xoo RS232 cable ni ya kununua cyo maana hyo mm cna.nway nitashukuru kama ukiweza nipa maelezo kwa kina nami nihangaika na kukujua hali ilivyo then tutajua cha kufanya kama muda wa kingamuzi umekwisha au unakaribia kuisha.kwa mara ingine nashukuru kwa maelezo ako mkuu

Changamoto iliyopo nikupata RS 232 yenye 9 pin female to female tena anza kuiulizia mapema vinginevyo process ya kurenew inaweza kukugharimu kuibeba na kumpelekea mtu aku activetie wakati ungemaliza mwenyewe nyumbani...

AZSKY G6 Zote haziji na RS 232 isipokua AZSKY G1-G3 hivo kama una mtu anayo g1 na G1+,g2 basi ujue unaweza kuazima
 
wamavoko nimesikia xmaster server ferari software imeshapatikana.

When it comes kwa issue ya ku renew acc sitaki watu walipe hela kubwa lkn Xmaster ferrari kuna ujanja umekuja unaweza kuibadilisha kutoka Xmaster ferrari nakuifanya Xmaster Avartercam acc ....lkn bei ya Avartacam acc kwa sasa iko juu sana na inaweza kukugharimu 65,000/= mpaka 80,000/-
 
Changamoto iliyopo nikupata RS 232 yenye 9 pin female to female tena anza kuiulizia mapema vinginevyo process ya kurenew inaweza kukugharimu kuibeba na kumpelekea mtu aku activetie wakati ungemaliza mwenyewe nyumbani...

AZSKY G6 Zote haziji na RS 232 isipokua AZSKY G1-G3 hivo kama una mtu anayo g1 na G1+,g2 basi ujue unaweza kuazima

Wale wa Mwanza city kama unataka ku-update account ya azsky g6 ila umekosa waya nitafute Ndebile nitakufanyia bureeee!
 
Last edited by a moderator:
Changamoto iliyopo nikupata RS 232 yenye 9 pin female to female tena anza kuiulizia mapema vinginevyo process ya kurenew inaweza kukugharimu kuibeba na kumpelekea mtu aku activetie wakati ungemaliza mwenyewe nyumbani...

AZSKY G6 Zote haziji na RS 232 isipokua AZSKY G1-G3 hivo kama una mtu anayo g1 na G1+,g2 basi ujue unaweza kuazima

basii tena kaka kazi imekwishaa maana mm ninayo AZSKY G6
 
hawk he 7777 classic digital satellite receiver. vipi ndo zimebuma au kuna maujanja yanaweza kufanyika mzigo ukarudi hewani?

Xmaster ferrari server can now be converted to QSAT avartacamHD account,the most stable Cam account and opening many channels than any cam acc had done b4

Kaka kazi kwako xmaster ferrari kwenda avartacamhd acc bei yake ya offer nakuuzia kwa 70,000/=
 
Itabidi tuongee vizuri hapa... Una maana gani kusema Xmaster kuwa converted to QSAT AvaterCamHD? ina tofauti gani na ile ya m2n ya kulipia sh 80,000?
 
Itabidi tuongee vizuri hapa... Una maana gani kusema Xmaster kuwa converted to QSAT AvaterCamHD? ina tofauti gani na ile ya m2n ya kulipia sh 80,000?

Ya m2n sijui iko je mkuu
Kitu ambacho inabidi ujue ni kwamba Xmaster ni sawa na QSAT hiyo ni brand name...
Hata s/w zao zimepigwa alama ya QSAT models

Hivo basi ile iliokuja na Ferrari server ukiiwekea S/W ya xmaster ya avartacam afu unaiwekea acc au kwa kua xmaster ya avartacam ni sawa na QSAT ukaweka s/w ya QSAT basi unakua umemaliza kazi bei imeshushwa ya account na nafanya 70,000/= ....
Book account 24hrs kabla ya siku kuinunua ili niandae kabisa
 
nimekusoma mkuu
Xmaster ferrari
server can now be converted to QSAT avartacamHD account,the most stable
Cam account and opening many channels than any cam acc had done b4

Kaka kazi kwako xmaster ferrari kwenda avartacamhd acc bei yake ya offer
nakuuzia kwa 70,000/=
 
​mjumbee azsky imepgwa tko na kaburu wa dstv....azsky zimebumaa kabisaaa......

Kuwa mbunifu wewe afu haya mambo ya AZSKY imebuma kwenye nyuziza biashara sio poa kabisa unawakata maini wanaotaka kununua...
AZSKY iko hewani tafuta CCCAM hata ya miezi mitatu nunua USB Wifi adapter utaona kama utapata tabu yoyote na utaacha kulia na hiyo AZSKY...

Bei za Cccam zimeshuka na bei mpya hizi hapa

3 months 50$

For Non Tamzanians

Au 80,000/=/3 months


Kazi kwenu wale wa AZSKY
 
Back
Top Bottom