Mpwa hizo ni alama kwa ajili ya vipofu! ANgalia keyboard yoyote hata ya simu kama blackbery utakuta kuna kitufe 5 na photocopy machine pia zina hicho kitufe
na simu za touch screen kama Iphone vipofu wamekumbukwaje' maana hamna buttons,,,,kwa matumizi ya vipofu.
most kwenye cm za nokia ila kwa samsung hamna hiyo alama.!!!
Mbona simu yangu haina kitufe chochote.
most kwenye cm za nokia ila kwa samsung hamna hiyo alama.!!!
Mbona simu yangu haina kitufe chochote.
inamaana vipofu wanatumia namba 5 tu. Naomba unieleweshe zaidi.
ukweli upo nyuma ya pazia