mengi ndivyo alivyo,huwa anakuja kugeuka katika baada ya kupima upepo....
nchimbi yeye alinusa mapema akakaa kando...
itakua vizuri kama magufuli aytamrudisha nchimbi katika wizara yake ya mambo ya ndani
Wanaoondoka ukawa ni wachache kuliko wanaoingia ukawa!ushindi ni lazima octoba 25
Hao wasanii hata wote wachukueni kwani ni sawa kuishiwa risasi kisha ukatumia gobole kama fimbo,
kwani ukweli ni kwamba aalS .Dr ni rasasi ya mwisho kwenye gobole lenu....hiiiiiiiihaoooo