RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
NI wazi kwamba Samia Suluhu Hassan alirithi kiti cha urais baada ya Hayati Magufuli kufariki dunia huyu ndiye aliyepitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu na vikao vya chama hadi akawa rais.
Kinana asipotishe umma kwamba desturi ya CCM NI kumwachia rais aliyepo sasa kuendelea na mhula mwingine bila kushindanishwa lini Samiah alipigiwa Kura ya vikao vya CCM na kupitishwa kuwa mgombea wa uraisi hajui kama mama amerithi kupitia kwa mwenzake?
Kinana ujuwe kuwa nchi hii ina watu wenye akili timamu kauli kama hizo ni kauli zinazoleta mtafaruku ndani ya nchi kwani ni vizuri demokrasia ikatawala na watu wachukue form wapate. raisi wanaoona anafaa kuwaongoza hivyo mama ashindanishwe kwani hata akishindanishwa akashinda basi atakuwa ametetea kiti chake na ndiyo maana ya demokrasia.
Hakuna mtu anayesema wala kubisha mama hafai isipokuwa ashindanishwe na wagombea wengine ndani ya CCM hiyo ndoo demokrasia tunayoijuwa.
Kauli hizo tunaomba makamu mwenyekiti wa chama ysiendelee kuzisema kwani zinaibua maswali mengi ndani ya chama na nchi kwa ujumla.
Mama mwenyewe tayari anawasili wake alishawatonya anahitaji kujipumzikia iweje Leo mumlazimishe.
Kinana asipotishe umma kwamba desturi ya CCM NI kumwachia rais aliyepo sasa kuendelea na mhula mwingine bila kushindanishwa lini Samiah alipigiwa Kura ya vikao vya CCM na kupitishwa kuwa mgombea wa uraisi hajui kama mama amerithi kupitia kwa mwenzake?
Kinana ujuwe kuwa nchi hii ina watu wenye akili timamu kauli kama hizo ni kauli zinazoleta mtafaruku ndani ya nchi kwani ni vizuri demokrasia ikatawala na watu wachukue form wapate. raisi wanaoona anafaa kuwaongoza hivyo mama ashindanishwe kwani hata akishindanishwa akashinda basi atakuwa ametetea kiti chake na ndiyo maana ya demokrasia.
Hakuna mtu anayesema wala kubisha mama hafai isipokuwa ashindanishwe na wagombea wengine ndani ya CCM hiyo ndoo demokrasia tunayoijuwa.
Kauli hizo tunaomba makamu mwenyekiti wa chama ysiendelee kuzisema kwani zinaibua maswali mengi ndani ya chama na nchi kwa ujumla.
Mama mwenyewe tayari anawasili wake alishawatonya anahitaji kujipumzikia iweje Leo mumlazimishe.