Elections 2010 Regia Mtema akataa hongo ya CCM

thank you for stating this, jf inameanza kua huru hadi sasa watu wameanza ku-advocate violence na ku-post vitu vya ajabu. Nahisi amani yangu inachezewa sana na power ya cyber.
Mkuu,

Baada ya mods kunifahamisha juu ya uvumi huu ilibidi niingie kuweza kufafanua juu yake. Kuna watu wanafurahia ku-advocate violence lakini nishauri kuwa ziangalieni posts vema; zilizokaa ki-shari tufahamisheni tuzipitie na kufanya verification.

Si kweli, ina maana hakukataa bali alipokea?
Mkuu, si kama hakukataa.

Kwa mujibu wa Regia, hakuna hata mtu alom-approach na wala hakujakuwepo na kitu kama hicho.

Tetesi zikiingia JF, husambaa via sms na mpaka huko Kilombero zimefika. Wapiga kura wake wamechukizwa, wanaweza kumtoa roho bure! Yeye anachosema ni kuwa anaenda mahakamani kupinga matokeo, sasa anayeenda mahakamani anatumia hela hizo hizo za kuhongwa? Ili iweje?
 
Mimi sijui kama watu walio ipigia kura ccm kama wana akili timamu,yaani napata wasiwasi sana tena mkubwa,kwasababu kwa karne hii mtu yoyote mwenye akili timamu awezi kukubali kuipigia kura ccm.Ccm ni wezi kila kona wanaiba kura wana mdhurumu kila mtu.:doh:
Mkuu,

Hizi ni siasa tu, kudai CCM ni wezi ni kutowatendea haki wengi ndani ya chama hicho. Siamini hata kama una chama basi ndani ya chama chako kila mmoja ni msafi.

Lenga watu flani ndani ya CCM ndo uonyeshe ubaya wao na si kuwaunganisha tu.

MFANO: Wengine hudhania JF ni pro CHADEMA, mbona kuna wana CCM wengi humu? Mbona tunao CUF? Tuache unazi na tuangalie picha kubwa
 
Mimi sijui kama watu walio ipigia kura ccm kama wana akili timamu,yaani napata wasiwasi sana tena mkubwa,kwasababu kwa karne hii mtu yoyote mwenye akili timamu awezi kukubali kuipigia kura ccm.Ccm ni wezi kila kona wanaiba kura wana mdhurumu kila mtu.:doh:

Hayo ndo matusi yaliyo mgharimu SLAA alifikiri atapata urais kwa kura za mza, arusha na mbeya akadharau Lindi mtwara n.k watanzania wote sawa ndoo maana sisi tunaona chadema mnaubaguzi mkubwa nyie wenyewe mnathibitisha kasumba hii hata mkipata URAIS mtatutesa haiwezi kuondoka. Hilo nalo GOD kaona mme noa.

CCM watapata kura kila siku maana wanajali wizi hata nyinyi mngepata fursa mngeiba hamna fursa ndoo maana. mlivyokua hamtaki kushindwa mbona profesa kakaa kimya nyie na profesa nani Msomi na mjuaji
 
Mimi mpaka sasa hivi hii habari ya Regia kule kilombero bado kizungumkuti kwangu
 
Siamini mkuu unaetetea CCM hapa kama Maxence Melo.

Usiogope kuwa CCM watakushambulia au kuifunga JF, simply tunawapasha ukweli wao! Tunataka viongozi wanaofuatilia performance za subordinates zao, na kuwawajibisha incase wanavurunda, si viongozi wanahakikisha maswahiba zao wanarudi madarakani at any cost huku wananchi wanateketea.

Angalia Liberia mama kaforce mawaziri wote waresign ili afanye tathmini ya utendaji wao, aliyevurunda out na adhabu alietimiza anaendelea na kupewa majukumu mengine ya kimaendeleo, CCM for 5ys wanawazia kukusanya hela za binafsi na za kugharamikia uchaguzi wa kifahari na kuhonga.

Hupendwi hupendwi tuu! Si sababu ya sura yako ila matendo yako, kutowajibika, wizi, ubadhirifu, udanganyifu etc. Hatuna chama cha taifa kipo cha watu flani tu! Tupo mkiani mwa uchumi sawa na wenye vita miaka nenda rudi!
 
Siamini mkuu unaetetea CCM hapa kama Maxence Melo.

Usiogope kuwa CCM watakushambulia au kuifunga JF, simply tunawapasha ukweli wao! Tunataka viongozi wanaofuatilia performance za subordinates zao, na kuwawajibisha incase wanavurunda, si viongozi wanahakikisha maswahiba zao wanarudi madarakani at any cost huku wananchi wanateketea.
Mkuu,

Hakuna anayeitetea CCM hapa; hata huyo Nyani Ngabu aliandika kuwa mimi ni CCM ili kufurahisha baraza tu. Kabla hatujayafikia ya Liberia tunatakiwa kujiridhisha kuwa NJIA ZOTE zimeshindikana.

Aidha; CCM haiwezi kuifungia JF, kama unamaanisha CCM hii ya Tanzania. Hilo sisi hatuna shaka nalo; masuala mengine yanahitaji busara tu, ninachosisitiza hapa ni kuangalia athari ya maandishi yetu kwa wenzetu tunaowagusia. Leo Regia, kesho wewe!
 
Aiseeeee babaangu haiwezekani!

Lazima tuingie mitaani kupinga hirii!

Pipppooooozzzzz Upawa? Teh teh teh!!!!
 
wako wapi ma sharp shooters waanze kuwapunguza mafisadi mmoja m1 tumechoka!!!!!!.
 
Ninachojua na kuamini HAki ya Regia haijapotea bure, aende mahakamani hima bila kuchelewa.
 
Kwani nyie chadema mtatoa wapi source za maendeleo. Msidanganyie pipi watu wakubwa waongo watupu tena nyie ni wabaya kuliko CCM. Maana mlikuwa CCM mkotoswa mnajidai leo wapinzania muulizeni SLAA alitoka CCM kama mrema kwa hiari yake? alitoswa ndo akajidai nae mpinzani, Muulize mzushi SHIBUDA aliisifia sana CCM kufunga bunge hili katoswa eti nae kajidai mpinzaini. CHADEMA chaka la waliofulia Mungu wangu mkipata nchi manyanyaso yenu SIPATI picha. mengi hatuna tunataka elimu bure, afya bure wanacnhi wa arusha, ilemela, nyamagana na kwingine tuone fund mtatoa wapi, Mtaona mnasema ooh tutatekeleza ahadi mpaka tupate RAIS wakati wa kampeni hamjalisema hilo.
Pia vijana tuone mtawasaidia nini. maana mfuko ni huo wa Benki kuu unaosubiri TRA waweke makusanyo

(red) leo wamefulia lakini wako bungeni, mpuuzi nini ndo akina kibonde ninyi, hiyo ni peoples pwr
 
Kwani nyie chadema mtatoa wapi source za maendeleo. Msidanganyie pipi watu wakubwa waongo watupu tena nyie ni wabaya kuliko CCM. Maana mlikuwa CCM mkotoswa mnajidai leo wapinzania muulizeni SLAA alitoka CCM kama mrema kwa hiari yake? alitoswa ndo akajidai nae mpinzani, Muulize mzushi SHIBUDA aliisifia sana CCM kufunga bunge hili katoswa eti nae kajidai mpinzaini. CHADEMA chaka la waliofulia Mungu wangu mkipata nchi manyanyaso yenu SIPATI picha. mengi hatuna tunataka elimu bure, afya bure wanacnhi wa arusha, ilemela, nyamagana na kwingine tuone fund mtatoa wapi, Mtaona mnasema ooh tutatekeleza ahadi mpaka tupate RAIS wakati wa kampeni hamjalisema hilo.
Pia vijana tuone mtawasaidia nini. maana mfuko ni huo wa Benki kuu unaosubiri TRA waweke makusanyo
rudi shule, unaandika kama hufikirii vile!
 
Hakika wewe lazima utakuwa ni mkazi wa LINDI, RUFIJI au MTWARA

Hujakosea Mpendwa, sehemu zote zenye maendeleo, watu wenye kujua kufikiria na kupambanua mambo wamechagua Chadema. Lakini sehemu zile za wenzetu ambako wako kweusi kimaendeleo wamedanganyika (LINDI, RUFIJI au MTWARA). Hata ukiangalia kwa mkoa wa Dar utajifunza kitu kwa wakazi wa Jimbo la Kawe na Ubungo na Segerea waliko chakachua.
 
Kwani nyie chadema mtatoa wapi source za maendeleo. Msidanganyie pipi watu wakubwa waongo watupu tena nyie ni wabaya kuliko CCM. Maana mlikuwa CCM mkotoswa mnajidai leo wapinzania muulizeni SLAA alitoka CCM kama mrema kwa hiari yake? alitoswa ndo akajidai nae mpinzani, Muulize mzushi SHIBUDA aliisifia sana CCM kufunga bunge hili katoswa eti nae kajidai mpinzaini. CHADEMA chaka la waliofulia Mungu wangu mkipata nchi manyanyaso yenu SIPATI picha. mengi hatuna tunataka elimu bure, afya bure wanacnhi wa arusha, ilemela, nyamagana na kwingine tuone fund mtatoa wapi, Mtaona mnasema ooh tutatekeleza ahadi mpaka tupate RAIS wakati wa kampeni hamjalisema hilo.
Pia vijana tuone mtawasaidia nini. maana mfuko ni huo wa Benki kuu unaosubiri TRA waweke makusanyo

Mungu wangu!! kweli wewe ni mbumbumbu. Mpaka sasa hujajua tofauti ya watu wa aina ya Shibuda na wale wa aina ya Nape Nnauye? Kwa taarifa yako watu kama Nape wameonyesha kabisa kuwa wanatafuta uongozi kwa maslahi yao na sio taifa ndo maana hata baada ya kufanyiwa zengwe ameendelea kuwa mnyenyekevu kwa mafisadi akijua kabisa CHADEMA hamna maslahi. Watu kama Shibuda ni sawa na watenda dhambi waliomrudia mungu baada ya kupata madhara ya dhambi.

Umbumbumbu wako unajionesha zaidi pale unapokuwa hujui hata jinsi unavyoibiwa kodi yako na ccm na hujui hata mgawanyo wa mapato ulivyo ndo maana unataka kuona kama ilemela na nyamagana watapata elimu bure, lakini ungekuwa na ufahamu ungegundua kuwa elimu ni sera ya kitaifa hivyo hata kama uongozi wa jimbo ni mzuri kiasi gani bado utategemea uongozi wa kitaifa.

Nakuomba ndugu yangu zinduka usipende kubaki nyuma kila wakati; yaani tulipokuwa ktk kipindi cha kupigania uhuru aina ya watu kama wewe walikuwa wanatetea wakoloni, ulipokuja mfumo wa chama kimoja nyie mliendelea kuongelea vyama vingi, tuliporudi kwenye mfumo wa vyama vingi nyie mmebaki na mawazo ya chama kimoja, tunaingia kwenye utandawazi nyie bado mmelala usingizi mnafikiri bila ccm hamna Tanzania. MAWAZO MGANDO HAYO!!!
 
Habari hii SI YA KWELI.

Niliongea na Regia jana jioni; akaikanusha vikali na kudai kuwa hata yeye amepigiwa simu na wananchi na wengine wanamtumia sms za vitisho kuwa amewauza kwa kuwaachia CCM jimbo.

Wana JF, tusi-advocate violence kwa kuamini vitu kabla ya kuvihakiki vyanzo vyetu. Hii imemfanya Regia kukosa amani akihofia usalama wake.

Kuna wengine hapa JF wanapopata taarifa tu wanaanza kuamini hata bila kufanya uhakiki na kudadidsi matokeo yake ndio hayo baadhi yetu tunatoa maoni kwa hisia zetu tu na kutoa hukumu.
 
Mkuu,

Hakuna anayeitetea CCM hapa; hata huyo Nyani Ngabu aliandika kuwa mimi ni CCM ili kufurahisha baraza tu. Kabla hatujayafikia ya Liberia tunatakiwa kujiridhisha kuwa NJIA ZOTE zimeshindikana.

Aidha; CCM haiwezi kuifungia JF, kama unamaanisha CCM hii ya Tanzania. Hilo sisi hatuna shaka nalo; masuala mengine yanahitaji busara tu, ninachosisitiza hapa ni kuangalia athari ya maandishi yetu kwa wenzetu tunaowagusia. Leo Regia, kesho wewe!
Melo!!, Kweli CCM Noma, Wamekuchachafya hadi umeamua kuvunja ukimya.......... kwa sisi tunaozijua Adha za ccm wala hatushangai
hapo ulipo unaweza ukawa unaandika vi posts vyako ukiwa chini ya usimamizi wa Kinana,....... Amewezekana Tido, Mengi na vyombo vyake, kasumbuliwa Kubenea, Onyo kali kwa Mwananchi....... utashindikana wewe na JF yako, Sikulaumu kwani najua unafanya hivyo kwa
manufaa ya JF................, Humu ndani wengi sio Pro CHADEMA bali ni Pro-CHANGEs na hakuna chama kilicho tuahidi mabadiliko zaidi ya hicho.
Pole broda kwani Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe siku zote.
Nb: naomba usini Ban kwani nina mengi ya kufanya humu JF Nivumilie tu.
 
kwani nyie chadema mtatoa wapi source za maendeleo. Msidanganyie pipi watu wakubwa waongo watupu tena nyie ni wabaya kuliko ccm. Maana mlikuwa ccm mkotoswa mnajidai leo wapinzania muulizeni slaa alitoka ccm kama mrema kwa hiari yake? Alitoswa ndo akajidai nae mpinzani, muulize mzushi shibuda aliisifia sana ccm kufunga bunge hili katoswa eti nae kajidai mpinzaini. Chadema chaka la waliofulia mungu wangu mkipata nchi manyanyaso yenu sipati picha. Mengi hatuna tunataka elimu bure, afya bure wanacnhi wa arusha, ilemela, nyamagana na kwingine tuone fund mtatoa wapi, mtaona mnasema ooh tutatekeleza ahadi mpaka tupate rais wakati wa kampeni hamjalisema hilo.
Pia vijana tuone mtawasaidia nini. Maana mfuko ni huo wa benki kuu unaosubiri tra waweke makusanyo

pumbavu!!!!!!!!!!!!!
 
we angalia tu jama alivyoanza

''nimethibitishiwa na mtu mzito...........

ujue huu ni uongo!!
 
kwani nyie chadema mtatoa wapi source za maendeleo. Msidanganyie pipi watu wakubwa waongo watupu tena nyie ni wabaya kuliko ccm. Maana mlikuwa ccm mkotoswa mnajidai leo wapinzania muulizeni slaa alitoka ccm kama mrema kwa hiari yake? Alitoswa ndo akajidai nae mpinzani, muulize mzushi shibuda aliisifia sana ccm kufunga bunge hili katoswa eti nae kajidai mpinzaini. Chadema chaka la waliofulia mungu wangu mkipata nchi manyanyaso yenu sipati picha. Mengi hatuna tunataka elimu bure, afya bure wanacnhi wa arusha, ilemela, nyamagana na kwingine tuone fund mtatoa wapi, mtaona mnasema ooh tutatekeleza ahadi mpaka tupate rais wakati wa kampeni hamjalisema hilo.
Pia vijana tuone mtawasaidia nini. Maana mfuko ni huo wa benki kuu unaosubiri tra waweke makusanyo
nakusikitikia sana, ninamashaka sana juu ya uwezo wako wa kufikiri na kiwango cha elimu yako pia, kweli ccm imeoza kuanzia mwenyekiti, katibu mpaka wanachama dah, na sehemu nyingi ambazo ccm imeshinda kwa kishindo wapiga kura wake ni wa aina yako. Haya mjomba songa mbele ila mwisho wenu unakuja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom