Elections 2010 Regia Mtema akataa hongo ya CCM

Mungu wangu!! kweli wewe ni mbumbumbu. Mpaka sasa hujajua tofauti ya watu wa aina ya Shibuda na wale wa aina ya Nape Nnauye? Kwa taarifa yako watu kama Nape wameonyesha kabisa kuwa wanatafuta uongozi kwa maslahi yao na sio taifa ndo maana hata baada ya kufanyiwa zengwe ameendelea kuwa mnyenyekevu kwa mafisadi akijua kabisa CHADEMA hamna maslahi. Watu kama Shibuda ni sawa na watenda dhambi waliomrudia mungu baada ya kupata madhara ya dhambi.

Umbumbumbu wako unajionesha zaidi pale unapokuwa hujui hata jinsi unavyoibiwa kodi yako na ccm na hujui hata mgawanyo wa mapato ulivyo ndo maana unataka kuona kama ilemela na nyamagana watapata elimu bure, lakini ungekuwa na ufahamu ungegundua kuwa elimu ni sera ya kitaifa hivyo hata kama uongozi wa jimbo ni mzuri kiasi gani bado utategemea uongozi wa kitaifa.

Nakuomba ndugu yangu zinduka usipende kubaki nyuma kila wakati; yaani tulipokuwa ktk kipindi cha kupigania uhuru aina ya watu kama wewe walikuwa wanatetea wakoloni, ulipokuja mfumo wa chama kimoja nyie mliendelea kuongelea vyama vingi, tuliporudi kwenye mfumo wa vyama vingi nyie mmebaki na mawazo ya chama kimoja, tunaingia kwenye utandawazi nyie bado mmelala usingizi mnafikiri bila ccm hamna Tanzania. MAWAZO MGANDO HAYO!!!
Asante sana kaka nadhani wewe umemaliza kila kitu.
 
Mimi sijui kama watu walio ipigia kura ccm kama wana akili timamu,yaani napata wasiwasi sana tena mkubwa,kwasababu kwa karne hii mtu yoyote mwenye akili timamu awezi kukubali kuipigia kura ccm.Ccm ni wezi kila kona wanaiba kura wana mdhurumu kila mtu.:doh:

2SO2, usishange kila kundi uwa kuna mataila. Mbona jana kuna kundi la mataila wanahabari walikaa pamoja kujisifu eti 'haikuwa rais' alaf wanaimba ...oyee wanarudia...oyee*5 ivi ujui iki ni kibwagizo cha chama gani? Kweli tz bado ina watu wazima mataila,haikuwa rais? Wanamsema nani 'akuwa rais?' wapuuzi!
 
Inawezekana,ccm hawawezi kushinda bila kutumia hila,mimi mwenyewe wamenijaribu mara kadhaa kunishawishi nijitoe kwenye kinyang'anyiro wakashindwa.
 
Kwani nyie chadema mtatoa wapi source za maendeleo. Msidanganyie pipi watu wakubwa waongo watupu tena nyie ni wabaya kuliko CCM. Maana mlikuwa CCM mkotoswa mnajidai leo wapinzania muulizeni SLAA alitoka CCM kama mrema kwa hiari yake? alitoswa ndo akajidai nae mpinzani, Muulize mzushi SHIBUDA aliisifia sana CCM kufunga bunge hili katoswa eti nae kajidai mpinzaini. CHADEMA chaka la waliofulia Mungu wangu mkipata nchi manyanyaso yenu SIPATI picha. mengi hatuna tunataka elimu bure, afya bure wanacnhi wa arusha, ilemela, nyamagana na kwingine tuone fund mtatoa wapi, Mtaona mnasema ooh tutatekeleza ahadi mpaka tupate RAIS wakati wa kampeni hamjalisema hilo.
Pia vijana tuone mtawasaidia nini. maana mfuko ni huo wa Benki kuu unaosubiri TRA waweke makusanyo
Lugha za mafisadi utazijua tu!
 
Kwani nyie chadema mtatoa wapi source za maendeleo. Msidanganyie pipi watu wakubwa waongo watupu tena nyie ni wabaya kuliko CCM. Maana mlikuwa CCM mkotoswa mnajidai leo wapinzania muulizeni SLAA alitoka CCM kama mrema kwa hiari yake? alitoswa ndo akajidai nae mpinzani, Muulize mzushi SHIBUDA aliisifia sana CCM kufunga bunge hili katoswa eti nae kajidai mpinzaini. CHADEMA chaka la waliofulia Mungu wangu mkipata nchi manyanyaso yenu SIPATI picha. mengi hatuna tunataka elimu bure, afya bure wanacnhi wa arusha, ilemela, nyamagana na kwingine tuone fund mtatoa wapi, Mtaona mnasema ooh tutatekeleza ahadi mpaka tupate RAIS wakati wa kampeni hamjalisema hilo.
Pia vijana tuone mtawasaidia nini. maana mfuko ni huo wa Benki kuu unaosubiri TRA waweke makusanyo

unataka utukanwe then mripoti kwa MODS watu tufungiwe humu..nyie haya tu
 
Kwani nyie chadema mtatoa wapi source za maendeleo. Msidanganyie pipi watu wakubwa waongo watupu tena nyie ni wabaya kuliko CCM. Maana mlikuwa CCM mkotoswa mnajidai leo wapinzania muulizeni SLAA alitoka CCM kama mrema kwa hiari yake? alitoswa ndo akajidai nae mpinzani, Muulize mzushi SHIBUDA aliisifia sana CCM kufunga bunge hili katoswa eti nae kajidai mpinzaini. CHADEMA chaka la waliofulia Mungu wangu mkipata nchi manyanyaso yenu SIPATI picha. mengi hatuna tunataka elimu bure, afya bure wanacnhi wa arusha, ilemela, nyamagana na kwingine tuone fund mtatoa wapi, Mtaona mnasema ooh tutatekeleza ahadi mpaka tupate RAIS wakati wa kampeni hamjalisema hilo.
Pia vijana tuone mtawasaidia nini. maana mfuko ni huo wa Benki kuu unaosubiri TRA waweke makusanyo

Jamani ni vizuri kama huna cha kushauri juu ya ujenzi wa nchi yetu tuka kaa kimya kwani huu ushabiki wa vyama hauta saidia maendeleo ya nchi, hakuna mtu mjinga asiefahamu jinsi pato la taifa ambalo kimsingi ni pesa za kodi toka kwa wavuja jasho zinavyotumiwa vibaya naserikali ilioko madarakani sasa akija mwehu na ushabiki wa chama chake aanze kutwambia haiwezekani kuleta maendeleo yetu kwa kutumia kidogo kinachopatikana naona nibora mtu huyu akae kimya kuliko kujidhalilisha kwa kuonyesha ni jinsi gani hawezi fikiri vizuri.

Ili nchi ipate maendeleo nilazima mambo yafuatayo yazingatiwe
1. Kuwekeza katika Elimu ya Sayansi ambayo hapa kwetu inauwawa
2. Kuwajali wataalamu kwa kuwalipa malupulupu yanayo lingana na kazi zao
3. Serikali ipunguze anasa kama vile kutembelea magari ya kifahali kwa watumishi wa
uma.
4. Kuahakikisha walimu analipwa vizuri
5. Serikali kusimamia mapato na matumizi ya uma kwa umakini mkubwa kuondoa mianya
ya ubadhilifu
6. Ubunge iwe kazi ya kujitolea na sio kazi yakuula kama ilivyo sasa.

Kuyafanya haya ni lazima uwe MZALENDO wa ukweli kama Che guavara au Ahmadnejad
vinginevyo tunadanganyana
Tuliopevuka kimtazamo tunajipanga hatuwezi kudanganywa na watu wachache kama wewe....
 
Ninachojua na kuamini HAki ya Regia haijapotea bure, aende mahakamani hima bila kuchelewa.
Muulize Mnyika kesi aliyofungua mwaka 2006 kama ilishatolewa hukumu! Mafisadi wameiteka mpaka mahakama. Hata hukumu ya Chenge ya kuua atapeta nakwambia.
 
Habari hii SI YA KWELI.

Niliongea na Regia jana jioni; akaikanusha vikali na kudai kuwa hata yeye amepigiwa simu na wananchi na wengine wanamtumia sms za vitisho kuwa amewauza kwa kuwaachia CCM jimbo.

Wana JF, tusi-advocate violence kwa kuamini vitu kabla ya kuvihakiki vyanzo vyetu. Hii imemfanya Regia kukosa amani akihofia usalama wake.
mkuu embu njoo ufafanue hapa, alikataa au alipokea? kwasababu tunahasira kweli kweli?
Na kama alikataa na ushahidi anao kwanini asiende mahakamani kama Mpendazoye?
 
Acheni vilio na ccm wekeni mikakati endelevu...tuji organize nchii nzima kushinikiza katiba mpya hiyo itawapa moral wabunge na nchii jirani au wahisani kuishinikiza serekali kufanya hivo haraka..ila kwa mpango huu ccm cccm ccm ndo itabakia kuwa kama nyimbo za bob malley akilini mwetu...Ppfuuuuuuuuuuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom