klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Nakuaminia, ile A yako uloipata bila kitabu cha log wala kalkuleta sio burehehehehe! Wenye maakili yetu hadi mabichwa mazito tushaelewa hapo. Lol
Nakuaminia, ile A yako uloipata bila kitabu cha log wala kalkuleta sio burehehehehe! Wenye maakili yetu hadi mabichwa mazito tushaelewa hapo. Lol
nakumbuka sana hicho kipindi
hasa mapori ya geita kuelekea chato hadi ngara pamoja na njia ya kibondo.
It was crazy, lakini ndo ilikuwa hali halisi.
Sema kipindi hicho hakukuwa na media ya kufichua maovu hayo ila itwas so common.
Nakumbuka kuna baba mmoja alilazimishwa ku du na bintiye, baada ya siku 3 akajinyonga.
Mie siwezi mlaumu yeyote katika situation hiyo. We live once...
Nakuaminia, ile A yako uloipata bila kitabu cha log wala kalkuleta sio bure
tena bila ya sunglassumeona eeeeh!
tena bila ya sunglass
Nikifika miaka 21 unianzishie sredi ya hepi besdeihukukosea kuwa lawyer na doctor katika huo umri wako wa miaka 20.
Nikifika miaka 21 unianzishie sredi ya hepi besdei
Acha nichakachue besdei yangu ili ifike halaka.nitakupa na bonge la zawadi, (don't guess)
Acha nichakachue besdei yangu ili ifike halaka.
Kuna kipindi nilikuwa nikifanyakazi kwenye operesheni ya wakimbizi huko Magharibi ya Tanzania. Kutokana na wimbi la Wakimbizi, kulikuwa na silaha nyingi sana zimezagaa na hivyo majambazi yanayosadikiwa kuwa ni wakimbizi toka nchi jirani yalikuwa yakikaa kwenye misutu minene na kuteka magari ya abiria. Moja ya ukatili waliokuwa wakiufanya ni kuwalazimisha watu wafanye tendo la ndoa na ndugu zao wa kuzaliwa au mama yako mzazi. Huwa wanauliza huyu ni na ni kwako, kwakuwa hujua utasema ni mama yangu mzazi au ni dada yangu wa tumbo moja, baada ya hapo mtutu kisogoni ukilazimishwa ufanye naye tendo la ndoa, na huwa hawatanii usipofanya ni risasi. Je hii ukikutokea wewe upo tayari kufa au kutimiza matakwa yao?
Kesho mbaya! naenda kupima, tuifanye next weektuifanye kesho?
Kesho mbaya! naenda kupima, tuifanye next week
Ni situation ngumu lakini hakuna option nyingine. Kuishi na kumbukumbu ya ku'doo' na mzazi au dada ni ngumu mno kwangu. I'll be depressed and even jump off a building kabla ya siku zangu :hatari:. Utamwambiaje mzazi/dada, 'haya weka pozi nzuri mie nipo tayari!'. It's better to die with a bit of dignity in you than live perpetual shame
Haina noma , lakini siku ya kuchukua majibu uskuje.nikusindikize shem?