marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
Mungu epushia mbali ushetan huu!kwan ni heri kufa tu aisee!ila jaman kwann uwaze mambo haya dah!
Ha ha ha!Akili hazina mipaka ya kuwaza!
Mungu epushia mbali ushetan huu!kwan ni heri kufa tu aisee!ila jaman kwann uwaze mambo haya dah!
haya yalikuw ayanatokea sio mtu kuwaza uchizi au nn...uliza watu wamikoa ya huko kagera na kigoma watakwambia mwana jamvi
Mimi naomba litokee zali sku moja basi la JF litekwe halaf niambiwe ningonoke na ka mrembo flani ivi ka humu JF (jina litatajwa next week)
Freud would diagnose an Oedipus complex on the part of the author of this thread.
And even though I tend to dismiss Freud as a fraud in most cases, in this one he would be justified.
nakumbuka sana hicho kipindi
hasa mapori ya geita kuelekea chato hadi ngara pamoja na njia ya kibondo.
It was crazy, lakini ndo ilikuwa hali halisi.
Sema kipindi hicho hakukuwa na media ya kufichua maovu hayo ila itwas so common.
Nakumbuka kuna baba mmoja alilazimishwa ku du na bintiye, baada ya siku 3 akajinyonga.
Mie siwezi mlaumu yeyote katika situation hiyo. We live once...