Hivi ni kitu gani kimekufanya uwaze haya??
Hii yaweza kuwa ni inidcation ya wewe kumtamani Mama/Dada zako.
Kwanini usingetoa mfano wa Dada kwa Kaka/Baba ukakimbilia kwa Mama/Dada.
Ukiendelea na mawazo yako haya machafu mwaka huu haukatizi lazima uwe chizi...
Da! We jamaa ni muongo!
Ni kwamba mlikuwa mnavuliwa nguo zote, no matter upo na nani?
I have been their for almost eight years, working with those area as security officer!
nakumbuka sana hicho kipindi
hasa mapori ya geita kuelekea chato hadi ngara pamoja na njia ya kibondo.
It was crazy, lakini ndo ilikuwa hali halisi.
Sema kipindi hicho hakukuwa na media ya kufichua maovu hayo ila itwas so common.
Nakumbuka kuna baba mmoja alilazimishwa ku du na bintiye, baada ya siku 3 akajinyonga.
Mie siwezi mlaumu yeyote katika situation hiyo. We live once...
Hivi ni kitu gani kimekufanya uwaze haya??
Hii yaweza kuwa ni inidcation ya wewe kumtamani Mama/Dada zako.
Kwanini usingetoa mfano wa Dada kwa Kaka/Baba ukakimbilia kwa Mama/Dada.
Ukiendelea na mawazo yako haya machafu mwaka huu haukatizi lazima uwe chizi...
Sidhani kama kweli ulikuwepo huko? Organization gani ulikuwa unafanyia kazi? I have been there working with United Nations World Food Programm for couple of years and all movements there at that particular time required police escorts. Tell me what do you know about that issue. It reached to the extent that even Mkuu wa wilaya alivuliwa nguo na ikabidi mkuu wa mkoa wakati huo General Kiwelu atuma JWTZ kuwasaka hao jamaa katika misitu. Kama kweli ulikuwepo huko eleza unachofahamu juu ya hii habari.
Mi humu si mdau ila hapa nichangie japo sijui huyu jamaa kawaza nini?.mi naungana nawe kama ukisima....ulitamani siku nyngikwa mwanaume kama ukilazimishwa kuzini na mama yako, ukapata erection na kufanya penetration, basi unakuwa umekusudia kufanya hivyo, na ulikuwa unatamani siku kama hiyo ifike, kwanza hata kama ingekuwa ni mkeo kwa mazingira kama hao sidhani kama utapata erection. kwa hali ya kawaida lazima utaishia kupigwa risasi kwa sababu huwezi pata erection kwa mazingira hayo.
Sasa mtu akikuforce umlale mama yako, huyo si kisha kuua tayari ?
Hata asipofyatua hiyo bunduki yake mi nshadedi .
Mimi naomba litokee zali sku moja basi la JF litekwe halaf niambiwe ningonoke na ka mrembo flani ivi ka humu JF (jina litatajwa next week)
hapo nimefunguka bila kuanzisha sredi. Think! shem think!mmmh! Hujatulia tulia shemeji mapeeepe.
hapo nimefunguka bila kuanzisha sredi. Think! shem think!