ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,821
Hivi hii imekaaje yaani video clip vya facebook ukiviangalia dakika kumi tu zinakausha data Balaa hata GB 1 fasta inakata. Wakati unaweza kuangalia YouTube muda mrefu tu.
Dotto magari, mwijaku, baba levo, chiefgodlove na juma lokole.Huko Facebook siku hizi kumejaa maujinga ujinga tu
Mnatafutaga Nini huko kwani?
Akijibu nitagHuko Facebook siku hizi kumejaa maujinga ujinga tu
Mnatafutaga Nini huko kwani?
Akijibu nitag
Dotto magari, mwijaku, baba levo, chiefgodlove na juma lokole.
Na kwa taarifa yako wote hawa ni wanakitengo. Watu muhimu sana nchini kwa kutuweka salama.
Na hapa ipo!
Halaaaaa!