Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Si ndio maana ronaldinyo anao wawili na anatembea nao
hahahahaha ronaldinyo wa kukata utepe
Si ndio maana ronaldinyo anao wawili na anatembea nao
kama ukristo ni umagharibi je uislamu umesahau umetoka wapi? jiulize dini ya mwafrika ni ipi,tusikae kuchukiana kwa vitu ambavyo ni utamaduni wa wokoloni, uislam ina culture ya kiarabu ndio maana wanabagua wanawake.
Wewe umesoma madrassa,,,,,nenda kasome surat an-nur,kaangalie role za mwanaume wa kiislam na mwanamke wa kiislam,,,,,,
ukristo haubagui eeenh,,,,????sasa si mngekua mnalala na dada zenu chumba kimoja?mbona mnawabagua????
Hivi kuna sheikh mwanamke hapa Tanzania??
mkuu. Kweli lkn naona viongozi wote wakikiristo ni wanaume na sijasikia mkiristo tz akawa padri. Jee nao sio ubaguzi wa kijinsia
we kichaa tu sio bure! unafahamu maana ya sheikh? au lengo lako kuuliza kuwa kuna imamu mwanamke? fafanua kwanza
Wewe uliyesoma madrasa nakushauri urudi tena na usome kweli sio blablaa!Uliza wenye elimu na usipende kudiscuss kitu ambacho huna elimu nacho kama kweli ww ni muislam!MUNGU akufungue akili na upate ufahamu.
Jamani mimi ni muislamu lakini mbona sijawahi fundishwa madarasa kuwa wanawake wabaguliwe katika shughuli mbalimbali? Redio na tv imani hawana mtangazaji hata mmoja mwanamke mbaya zaidi hata akipiga simu kuchangia anakatiwa simu, muuh! Mbaya sana. Mbona ile redio ya BAKWATA ina watangazaji wanawake? Uisalamu wa Redio na Tv imani ni upi? Basi sisi waislamu tunakasoro mbaya sana.