drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
Habari wakuu,
jamani kama kweli watanzania tunataka kumuenzi hayati baba wa taifa bac ifikapo tar 31 october tufanye ivyo kwa kuingoa ccm madarakani kupitia kura zetu kwani mwl alichukia rushwa kutoka moyoni ata ukimwangalia kwa macho unaona ivyo, akupenda kulimbikiza mali kama wafanyavyo viongozi wengi leo hii,akuwa fisadi wala akupenda ufisadi.
ccm ya leo aifati yale mema ya mwl so tutamwenzi kwa kura yetu ya hapana hapo tutakuwa tumefanya jambo zuri
jamani kama kweli watanzania tunataka kumuenzi hayati baba wa taifa bac ifikapo tar 31 october tufanye ivyo kwa kuingoa ccm madarakani kupitia kura zetu kwani mwl alichukia rushwa kutoka moyoni ata ukimwangalia kwa macho unaona ivyo, akupenda kulimbikiza mali kama wafanyavyo viongozi wengi leo hii,akuwa fisadi wala akupenda ufisadi.
ccm ya leo aifati yale mema ya mwl so tutamwenzi kwa kura yetu ya hapana hapo tutakuwa tumefanya jambo zuri