RC Gambo amjibu Lema kuhusu ubaguzi

Mti majungu

Member
May 19, 2015
56
79
Katika page yake ya instagram RC Gambo amewashukuru wanaarusha kwa kujitokeza kwa wingi kuwaaga watoto wetu na pia amekanusha uzushi unaoenezwa na Lema
2cf8697ebe914fb698c948357c337fea.jpg
 
Safi sana hilo lilionekana na wengine tulielewa, wengi hata mawazo yetu hayakuwa yanafikiria nani ataongea bali kusikiliza ujumbe waliotoa.
Majinga mengi mpo gizani sijui mnatumia kitu gani kufikir , nahisi pengine mnatumia tundu chemba kufikiri, kumbuka lema ndiye mbunge anaye wakilisha wananchi wa arusha na hilo ndilo jimbo lake na hao ndio wananchi walio mchagua, hata kama nimashabiki wa upumbavu kuna mengine bora mfunge tu hayo mabakuli yenu
 
Majinga mengi mpo gizani sijui mnatumia kitu gani kufikir , nahisi pengine mnatumia tundu chemba kufikiri, kumbuka lema ndiye mbunge anaye wakilisha wananchi wa arusha na hilo ndilo jimbo lake na hao ndio wananchi walio mchagua, hata kama nimashabiki wa upumbavu kuna mengine bora mfunge tu hayo mabakuli yenu
Povu la nini?? Huo utaratibu wa lema kuongea ni utaratibu wa mmeo na wewe chumbani kwenu, kwa ishu ya leo dj kaongea kwa niaba ya lema, hutaki acha!
 
Majinga mengi mpo gizani sijui mnatumia kitu gani kufikir , nahisi pengine mnatumia tundu chemba kufikiri, kumbuka lema ndiye mbunge anaye wakilisha wananchi wa arusha na hilo ndilo jimbo lake na hao ndio wananchi walio mchagua, hata kama nimashabiki wa upumbavu kuna mengine bora mfunge tu hayo mabakuli yenu.
Umesoma nilichoandika na umefuatilia "trend" ya mada yenyewe ama umeibuka kutoka utokako na kuporomosha matusi?
 
Back
Top Bottom