Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Akizungumza na JamiiForums, Chalamila amesema “Kweli kuna shida, nimefuatilia, nashukuru kuwa tayari Rais Samia Hassan Suluhu ameshaelekeza DAWASA waongeze nguvu ya kifedha ili Bonyokwa yote iwe na maji kwa Saa 24 na kazi tayari imeanza, asanteni sana, msinifiche kitu endeleeni kuwa Mabalozi.”
Hoja ya Mdau: Tabata Bonyokwa hatujaona tone la maji wiki ya tano sasa, DAWASA mnatuona manyani?