RC Chalamila akutana na Waandamanaji wa CHADEMA. Awatakia heri kwenye maandamano na kuwasihi kufikisha ujumbe walipokusudia

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,403
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewatakia kila la heri wafuasi wa CHADEMA waliokutana maeneo ya Mbezi Mwisho stendi ya Magufuli kwa ajili ya kuanza maandamano ya amani na kuwataka kuulinda uwekezaji uliopo ndani ya Jiji hilo wasiuharibu na badala yake wafikishe ujumbe walioukusudia siku ya leo.

"Mnatakiwa kufikisha ujumbe pale mlipokusudia, serikali tuko na nyie na tunawatakia kila la heri, ninyi na mimi ni wana Dar es Salaam penye mzunguko mkubwa wa pesa, penye hospitali kubwa na uwekezaji mkubwa, maandamano yetu yanapaswa kulinda uwekezaji wote huo, Rais Samia na viongozi wote wamesema wacha watu waandamane," amesema Chalamila

 
Hahahaha hapo sasa imegeuka comedy show
Kwenye haya maandamano kuna mawili kubuma au kumake hedlines sana …
Lakini japo hayatokuwa na matokeo yeyote lakini chadema wanayo option ya kukomaa na wananchi na kuwashawishi kususia chaguzi zijazo lakini wao chadema ndio wawe wa kwanza kususia uchaguzi ….
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewatakia kila la heri wafuasi wa CHADEMA waliokutana maeneo ya Mbezi Mwisho stendi ya Magufuli kwa ajili ya kuanza maandamano ya amani na kuwataka kuulinda uwekezaji uliopo ndani ya Jiji hilo wasiuharibu na badala yake wafikishe ujumbe walioukusudia siku ya leo.

"Mnatakiwa kufikisha ujumbe pale mlipokusudia, serikali tuko na nyie na tunawatakia kila la heri, ninyi na mimi ni wana Dar es Salaam penye mzunguko mkubwa wa pesa, penye hospitali kubwa na uwekezaji mkubwa, maandamano yetu yanapaswa kulinda uwekezaji wote huo, Rais Samia na viongozi wote wamesema wacha watu waandamane," amesema Chalamila

View attachment 2881134
Hawana kazi za kufanya hao nyumbu wa Chadema.

Makonda anasema Samia ni mama vinginevyo ingekuwa awamu ya chuma angewafyeka wote 😂😂
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewatakia kila la heri wafuasi wa CHADEMA waliokutana maeneo ya Mbezi Mwisho stendi ya Magufuli kwa ajili ya kuanza maandamano ya amani na kuwataka kuulinda uwekezaji uliopo ndani ya Jiji hilo wasiuharibu na badala yake wafikishe ujumbe walioukusudia siku ya leo.

"Mnatakiwa kufikisha ujumbe pale mlipokusudia, serikali tuko na nyie na tunawatakia kila la heri, ninyi na mimi ni wana Dar es Salaam penye mzunguko mkubwa wa pesa, penye hospitali kubwa na uwekezaji mkubwa, maandamano yetu yanapaswa kulinda uwekezaji wote huo, Rais Samia na viongozi wote wamesema wacha watu waandamane," amesema Chalamila

View attachment 2881134
Mnafiki sana huyu mzee wa kilaji
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewatakia kila la heri wafuasi wa CHADEMA waliokutana maeneo ya Mbezi Mwisho stendi ya Magufuli kwa ajili ya kuanza maandamano ya amani na kuwataka kuulinda uwekezaji uliopo ndani ya Jiji hilo wasiuharibu na badala yake wafikishe ujumbe walioukusudia siku ya leo.

"Mnatakiwa kufikisha ujumbe pale mlipokusudia, serikali tuko na nyie na tunawatakia kila la heri, ninyi na mimi ni wana Dar es Salaam penye mzunguko mkubwa wa pesa, penye hospitali kubwa na uwekezaji mkubwa, maandamano yetu yanapaswa kulinda uwekezaji wote huo, Rais Samia na viongozi wote wamesema wacha watu waandamane," amesema Chalamila

View attachment 2881134

Sasa ile biashara ya kuokota makopo leo imeishia wapi......!!?
 
Hawana kazi za kufanya hao nyumbu wa Chadema.

Makonda anasema Samia ni mama vinginevyo ingekuwa awamu ya chuma angewafyeka wote

Wewe mwenye kazi ya kufanya mbona kutwa kucha upo hapa Jf unaandika utumbo tu?!
Waache Chadema watumie haki yao ya kikatiba
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewatakia kila la heri wafuasi wa CHADEMA waliokutana maeneo ya Mbezi Mwisho stendi ya Magufuli kwa ajili ya kuanza maandamano ya amani na kuwataka kuulinda uwekezaji uliopo ndani ya Jiji hilo wasiuharibu na badala yake wafikishe ujumbe walioukusudia siku ya leo.

"Mnatakiwa kufikisha ujumbe pale mlipokusudia, serikali tuko na nyie na tunawatakia kila la heri, ninyi na mimi ni wana Dar es Salaam penye mzunguko mkubwa wa pesa, penye hospitali kubwa na uwekezaji mkubwa, maandamano yetu yanapaswa kulinda uwekezaji wote huo, Rais Samia na viongozi wote wamesema wacha watu waandamane," amesema Chalamila

View attachment 2881134

View: https://twitter.com/CloudsMediaLive/status/1750048222658064651?t=0GGWHGw2ncMZSYRQdf-0iw&s=19
 
Hawana kazi za kufanya hao nyumbu wa Chadema.

Makonda anasema Samia ni mama vinginevyo ingekuwa awamu ya chuma angewafyeka wote
Ukiwa punguani unaweza kuamini kuwa ni rahisi kumfyeka binadamu mwenzako.

Tatizo letu ni kukosa ujasiri. Tungekuwa majasiri, hakuna wa kutisha wala kuufyeka umma. Sanasana mambo yamgekuwa kinyume chake, watawala ndio wangekuwa wanauogopa umma.
 
Back
Top Bottom