Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,519
- 11,348
Hello JF,
Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.
Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.
DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.
Wakati ukuta.
Inshallah 🙏🙏🙏
Wabillah Tawfiq
Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.
Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.
DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.
Wakati ukuta.
Inshallah 🙏🙏🙏
Wabillah Tawfiq