kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 12,224
- 13,872
Mnaeshinda nae mwambieni apunguze pombe
Wangeweza kukuua na ukabambikiziwa kesi ya kutaka kujaribu kufanya shambulio la kigaidi au shambulio kwa askari 😅Mimi kunapolisi alinigombeza kama mtoto,nikakumbuka nina mke na watoto,then nikaona lile tukio litaonyeshwa kwenye tv nikaona haiwezekani kuabika hapa,nika mwambia unaongea ujinga kama unaweza shuka tupigane,nikamwambia shuka acha mbambamba ,nilikuwa nikisema hayo huku najiogopa maana nilibadirika sana,damu ilikuwa inachemka,thanks hakushuka
Yule ni mtoto mpendwa wa mamaNilimsikiliza zaidi ya mara mbili., ila nikagundua siyo yeye ni ulevi tu na shibe. Kiongozi mwenye busara na hekima hawez kuongea vile as if anaongea na mbwa wake. Wawe wanafikiri kwanza kabla yakuongea, maana wapo hapo kwa mda tu nasiyo milele.
Wacha ujinga wewe wa kujidai u Muislam.Hello JF,
Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.
Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.
DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.
Wakati ukuta.
Inshallah 🙏🙏🙏
Wabillah Tawfiq
Kumekucha 😀Wacha ujinga wewe wa kujidai u Muislam.
Pambaf.
Amewadhibiti madalali wa masoko, hataki kuwaona kwenye masoko.Kasema nini? Ushahidi
Chalamila anawafukuza madalali wa kwenye masoko, hataki kuwaona nje wala ndani ya masoko na aliwaamuru walejeshe pesa walizowatapeli wafanyabiashara, vita kubwa hii maana familia zitayumba kwa ndoa kuvunjika.Wengine hatukumsikia, alisemaje?
Amelelewa na kukulia ndani ya CCM.Hello JF,
Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.
Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.
DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.
Wakati ukuta.
Inshallah 🙏🙏🙏
Wabillah Tawfiq
Wamefanana sana
Ni jambo jema sana ila awe na ulinzi, lumbesa iliondoka na prof. Ila madalali wanakera mno mno tena waondolewe kabisa.Amewadhibiti madalali wa masoko, hataki kuwaona kwenye masoko.
Mi namuunga mkono, mdalali ni wajinga sana. Mtu unakuja na mzigo wako sokoni umeingia gharama kubwa then mtu mmoja tu tena kakaa tu hata shamba hapajui anakupangia bei ya hovyoChalamila anawafukuza madalali wa kwenye masoko, hataki kuwaona nje wala ndani ya masoko na aliwaamuru walejeshe pesa walizowatapeli wafanyabiashara, vita kubwa hii maana familia zitayumba kwa ndoa kuvunjika.
Huyu hapendi ujinga na wangezomea wajue rangi yake.Hello JF,
Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.
Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.
DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.
Wakati ukuta.
Inshallah 🙏🙏🙏
Wabillah Tawfiq
Kuwa Kocha wa mpira ndio uhuni.Kwanza alikuwa muhuni tu kule Bongo, Msasani... alikuwa Kocha wa mpira chunguzeni historia yake vyema... tuna vijana tele smart vichwani wanahangaika mitaani. Kweli bongo ushindwe wewe tu kulamba asali 😔
Nasikia huko kwao hiyo pia ni mboga kama matembele tu!Effect ya cana* kana binno unaiona apo