RC Chalamila chunga mdomo ni huruma tu imekuweka hapo

Mimi kunapolisi alinigombeza kama mtoto,nikakumbuka nina mke na watoto,then nikaona lile tukio litaonyeshwa kwenye tv nikaona haiwezekani kuabika hapa,nika mwambia unaongea ujinga kama unaweza shuka tupigane,nikamwambia shuka acha mbambamba ,nilikuwa nikisema hayo huku najiogopa maana nilibadirika sana,damu ilikuwa inachemka,thanks hakushuka
 
Mimi kunapolisi alinigombeza kama mtoto,nikakumbuka nina mke na watoto,then nikaona lile tukio litaonyeshwa kwenye tv nikaona haiwezekani kuabika hapa,nika mwambia unaongea ujinga kama unaweza shuka tupigane,nikamwambia shuka acha mbambamba ,nilikuwa nikisema hayo huku najiogopa maana nilibadirika sana,damu ilikuwa inachemka,thanks hakushuka
Wangeweza kukuua na ukabambikiziwa kesi ya kutaka kujaribu kufanya shambulio la kigaidi au shambulio kwa askari 😅

Afrika ni mahala pa hovyo sana!
 
Hello JF,

Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.

Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.

DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.

Wakati ukuta.

Inshallah 🙏🙏🙏

Wabillah Tawfiq
Wacha ujinga wewe wa kujidai u Muislam.

Pambaf.
 
Hello JF,

Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.

Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.

DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.

Wakati ukuta.

Inshallah 🙏🙏🙏

Wabillah Tawfiq
Amelelewa na kukulia ndani ya CCM.

Maadili yake ni reflection ya mapokeo ndani ya chama
 
Chalamila anawafukuza madalali wa kwenye masoko, hataki kuwaona nje wala ndani ya masoko na aliwaamuru walejeshe pesa walizowatapeli wafanyabiashara, vita kubwa hii maana familia zitayumba kwa ndoa kuvunjika.
Mi namuunga mkono, mdalali ni wajinga sana. Mtu unakuja na mzigo wako sokoni umeingia gharama kubwa then mtu mmoja tu tena kakaa tu hata shamba hapajui anakupangia bei ya hovyo
 
Hello JF,

Natuma salamu na onyo kali na tahadhari kali na ya uhakika kwa RC wa DSM Chalamila chunga mdomo ni kawaida baada ya haya majigambo December hutafika, ukiwa kwenye nafasi hio hapo ulipo maisha ni zaidi ya hayo.

Hata nyegere huchokoza kibwege ndio aweze kupata mlo, nyuki wakali lakini nyegere awapapasa na kuwala nyuki wakali na asali yao.

DSM ni mkoa unaohusudiwa na sasa haina shaka Chalamila aanza kuvembewa.

Wakati ukuta.

Inshallah 🙏🙏🙏

Wabillah Tawfiq
Huyu hapendi ujinga na wangezomea wajue rangi yake.
 
Kwanza alikuwa muhuni tu kule Bongo, Msasani... alikuwa Kocha wa mpira chunguzeni historia yake vyema... tuna vijana tele smart vichwani wanahangaika mitaani. Kweli bongo ushindwe wewe tu kulamba asali 😔
Kuwa Kocha wa mpira ndio uhuni.

Kabla hajaingia kwenye siasa Chalamila alikuwa lecture
 
Kafanya nini baba wa watu...WaTZ Hamna dogo..mbaba wa watu anachapa kazi nyie mnakuja na ngonjera hamtaki achape kazi..upuuzi kabisa
 
Back
Top Bottom